Wako wapi hawa watu?

Uko wapi Rejao, Ritz na Hamisi Kigwangala

Namtafuta Rejao, Ritz na Hamisi,
Wayalete matokeo, maana nimeyamis,
Wanipe ufafanuo, vibaya wasijihisi,
Hongereni Arumeru, Kuwafunza CCM.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom