Sista P alikuwa tough sana katika michano yake. I used to like how she could spit. Achana nao ililuwa hit sana.
Vp kuhusu hawa wasanii wengine wa Bongo flavour?
AB Skillz - Mimi na Wewe ft Mr.Blu
Bablee - Kizizi, Mapenzi vionjo, Chagua Moja
K Sal - Mkiwa ft Ferooz
Man X - Nimechezea Bahati ft Dullysykes
Picco - Binti Kikongwe
Fagio La Chuma - Fagio La Chuma