Wako wapi hawa mastaa waliotikisa sana ulimwengu wa muziki

P Diddy ana hela sana. Lakini ameamua tu asifanye music binafsi. Hata Dr Dre, hajatoa album muda mrefu sana. Dr Dre, P Diddy, na Jay Z ni wasanii wa hip hop watatu matajiri kuliko wengine wote wa music wa hip hop duniani.
P. didy anaendesha "BSS" ya kwao inaitwa "the four" yupo na DJ Khaled ni bonge la TV SHOW itafute you tube
 
Mimi enzi zangu naanza kujitambua wasanii waliokuwa wanasumbua ni kama;

Jarule
DMX
Sisqo
R.Kelly
Joe Thomas
Nelly
Jayz
Puff Daddy
JLo
Usher
Ginuwine
Westlife
Destiny's Chid
KC N JOJO
Boyz 2 Men
Eminem
Nas
C.Dion
Britney
Mariah Carey
Whitney
Brandy
Timberlake
Craigy David
Aaaliyah
Missy Eliot
E.V.E
Timberland
Nelly Furtado
Mase
Dr. Dre
Snoopy
Buster Rhymes
Enrique
Ashanti
Bow wow
Shaggy


Etc
NB: Ni wachache ambao still wako relevant
Bongo flavour ulikuja juu, radios na Tvs wakawa wanazipa airtime KWA Sana, ndo maana tulisahau hawa american singers, lakini BADO wapo, hawarecird lakini wanafanya show kubwa kubwa na wanapata watu kibao kwenye hizo show
 
Master P
Sisco
Dru Hill
ODB
Laurine Hill
Shania Twain
KCI & JOJO
Keith sweet
REY J
MONICA
COOLIO
CRAIG DAVID
ALL 4ONE

Baadhi walihamishia passion zao kwenye uigizaji kama:
Tyreese
Ice Cube
Quincy
Ludacris
XBIT
Willy Smith
Qeen Latifa

Wengine wamekuwa majaji kwenye "BSS" za huko majuu kama:
Usher Raymond
Dj Khaled
Adams
P. Didd
NK


the list is too long jazia na wengine

achana na waliofariki
Ila hadi leo hii Westlife, Shania Twain, Dolly Parton, Celine Dion & Don Williums wanapiga show.

NSYNC ndio walipotea kabisa baada ya Justine Timbarlake kuondoka. Japo walijaribu kurudi upya ila waliishia kurudi mavumbini
 
Eminem 90's hajulikani kabisa,Eminem amehit baada ya kusainiwa na Dr Dre .......Eminem na 50 Cent ni new school.....

Old xul:-

Dr Dre
X-zibit
Snoopy
Gina Thompson.
Kuhusu Eminem ni kweli kabisa japo yeye alitangulia kabla ya 50 cent, sema alisainiwa akiwa ana nyimbo nyingi sana japo zilikuwa hazijulikani (maarufu) na umri wake ulikuwa umekwenda sana
 
Master P
Sisco
Dru Hill
ODB
Laurine Hill
Shania Twain
KCI & JOJO
Keith sweet
REY J
MONICA
COOLIO
CRAIG DAVID
ALL 4ONE

Baadhi walihamishia passion zao kwenye uigizaji kama:
Tyreese
Ice Cube
Quincy
Ludacris
XBIT
Willy Smith
Qeen Latifa

Wengine wamekuwa majaji kwenye "BSS" za huko majuu kama:
Usher Raymond
Dj Khaled
Adams
P. Didd
NK


the list is too long jazia na wengine

achana na waliofariki
Kuna akina

Air supply
Phil Collins
Elton John
NSYNC
n.k
 
Mimi nawajua na wadownload na kuwasikiliza na kuwapenda wanamuziki wa miaka 20 kabla cjazaliwa . ni jinsi tu unavyotaka uwe
Mkuu unawadownload kupitia app ipi? maana mi nimejaribu kupitia videoder imekataa, pia nikitumia vidmate video zinabakia kwenye blue stacks ambapo hazihamishikia kabisa toka huko kuja kwenye downloads au desktop.
 
Back
Top Bottom