EINSTEIN112
JF-Expert Member
- Oct 26, 2018
- 21,713
- 35,527
- Thread starter
- #121
P. didy anaendesha "BSS" ya kwao inaitwa "the four" yupo na DJ Khaled ni bonge la TV SHOW itafute you tubeP Diddy ana hela sana. Lakini ameamua tu asifanye music binafsi. Hata Dr Dre, hajatoa album muda mrefu sana. Dr Dre, P Diddy, na Jay Z ni wasanii wa hip hop watatu matajiri kuliko wengine wote wa music wa hip hop duniani.