Setuba Noel
JF-Expert Member
- Mar 9, 2012
- 426
- 210
- Thread starter
-
- #21
Asante sana kwa kuleta rekodi hiyo.
Sijajua msukumo wao wakati ule ulikuwa ni nini kwa vile bado kulikuwa na matumani ya kufikia lengo la kuwa na serikali moja. Inawezekana walishayaona mapema mambo haya ambayo tunayaona leo kuwa serikali ya Muungano ilikuw inapotzea nguvu huko Zanzaibar na vile vile wazanzibar walikuwa wakishika madaraka ndani ya serikali ya Muungano kushughulika na mambo ya Tanganyika ambayo hayakuwa ya muungano.
Sahihisho dogo wakati Mzee Ngunangwa akiwa mbunge Mama Makinda alikuwa waziri wa wanawake na watoto! Ila umetoa nondo safi!
hivi mwalimu Nyerere alilichukuliaje hili kundi?