Mama anayeendesha baisikeli
Halafu kupigwa na waume zao daili, cjui wanashindwa nn au ni nidhamu na mila tu?
Mkuu darcity hawa wadada hawatufai sisi wa Dasalamu hebu muangalie huyo muendesha baiskeli kafanana na MO11
Mkuu darcity hawa wadada hawatufai sisi wa Dasalamu hebu muangalie huyo muendesha baiskeli kafanana na MO11
humo ndani kavaa bukta hatari sana hiyo inaitwa “kalala na corner"Sasa huyo dada... na hiyo spidi... gauni likifunika uso si ataajalika?... au kuwagonga wanaume watakaokuwa wanakodolea? huwa hawavaagi padlock hawa !...
Cheki picha ya lini hiyo
Ya zamani ila ni ya kufungulia mwaka.Cheki picha ya lini hiyo