lossoJR
JF-Expert Member
- Oct 11, 2012
- 2,711
- 2,387
Dada zetu sikuhizi mmekua makauzu hakuna mfano, tunalaumiwa bure tu wanaume hatutendi haki vitandani kumbe wakinadada mnachangia sana, kipindi hii unaweza finya msichana to the extent lakini anatumbua macho tu.
Hata miguno ya kinafki hakuna, unaweza sema ni jipande la mninga, sasa hiyo mizuka tutaitoa wapi? Japo waweza kutana na jidada lingine, unaona kabisa waelea lakini eti linalalama unafki.
Please jitumeni, tunawapenda.
Hata miguno ya kinafki hakuna, unaweza sema ni jipande la mninga, sasa hiyo mizuka tutaitoa wapi? Japo waweza kutana na jidada lingine, unaona kabisa waelea lakini eti linalalama unafki.
Please jitumeni, tunawapenda.