Wakili Tundu Lisu ni mahiri wa kukariri na kuzieleza sheria mbele ya wasio jua sheria, lakini ni mnyonge mno mbele ya mahakama na wanao zijua sheria

Wakili Tundu Lisu ni mahiri wa kukariri na kuzieleza sheria mbele ya wasio jua sheria, lakini ni mnyonge mno mbele ya mahakama na wanao zijua sheria

Tlaatlaah

JF-Expert Member
Joined
May 18, 2023
Posts
36,155
Reaction score
30,833
Anajisahau mno mahakamani na kudhani kwamba anajieleza mbele ya wale wasio jua sheria aliozoea kuwabeba ufala kifikra, kwamba eti anajua shreia bara-bara, kumbea hana lolote. Ndio maana, badala ya kujitetea kwa mujibu wa sheria kulingana na anachotuhumiwa nacho, Tundu Lisu anapoteza muda mwingi kulalamika na kulaumu mawakili wa Jamuhuri na saa zingine kumlaumu hakimu, huku akionyesha dhahiri kukata tamaa, kuchoka na kutegemea zaidi huruma ya mahakama na huruma wananchi wanaofuatilia kesi hizo zinazomkabili. Ni wazi hana umahiri wowote kwenye tasnia ya sheria, hususan mahakamani.

Tundu Lisu ameuhadaa umma wa kitaifa na kimataifa kwa muda mrefu kwamba yeye ni mahiri wa sheria, lakini kupitia kesi zinazomkabili mahakamani kwa sasa, ameonyesha wazi kua sio mwanasheria mzuri, na ni mnyonge mno mahakamani licha ya majigambo yake na kujipiga kifua kwamba atajitetea mwenyewe mahakamani, kitua ambacho kinaashiria wazi anakwenda kuangukia pua.

Tundu Lisu amechoka na ameelelemewa kisheria katika kila upande wa utetezi wake dhaifu wa maneno mengi na kupoteza muda mwingi wa mahakama na muda wake mwenyewe kueleza nonsense.

Kimsingi mropokaji huyo kwenye majukwaa ya kisiasa, anahitaji usaidizi wa kisheria ili walau kumpunguzia mzigo wa kujieleza na msongo wa mawazo unaomtesa akiwa korokoroni na unao mfedhehesha akiwa mahakamani.

Licha ya kiburi, ubinafsi na ubishi wake, kama mtaalamu muandamizi katika siasa, kwa mambo yaendavyo mahakamani, nashauri Lisu asaidiwe hata kwa lazima, ingawa it's too late kumnusuru kwa chochote kibaraka wa mabwenyenye ya magharibi ambae anastahili kupata haki yake mahakamani kulingana na tuhuma zinazomkabili kwa uwazi kama ambavyo kesi inaendelea. :NoGodNo:

Mungu Ibariki Tanzania
 
Anajisahau mno mahakamani na kudhani kwamba anajieleza mbele ya wale wasio jua sheria aliozoea kuwabeba ufala kifikra, kwamba eti anajua shreia bara-bara. Ndiao maana, badala ya kujitetea kwa mujibu wa sheria kulingana na anachotuhumiwa nacho, Tundu Lisu anapoteza muda mwingi kulalamika na kulaumu mawakili wa Jamuhuri na saa zingine kumlaumu hakimu, huku akionyesha dhahiri kukata tamaa, kuchoka na kutegemea zaidi huruma ya mahakama na huruma wananchi wanafuatilia kesi hizo zinazomkabili. Ni wazi hana umahiri wowote kwenye tasnia ya sheria, hususan mahakamani.

Tundu Lisu ameuhadaa umma wa kitaifa na kimataifa kwa muda mrefu kwamba yeye ni mahiri wa sheria, lakini kupitia kesi zinazomkabili mahakamani kwa sasa, ameonyesha wazi kua sio mwanasheria mzuri, na ni mnyonge mno mahakamani licha ya majigambo yake na kujipiga kifua kwamba atajitetea mwenyewe mahakamani.

Tundu Lisu amechoka na ameelelemewa kisheria katika kila upande wa utetezi wake dhaifu wa maneno mengi na kupoteza muda mwingi wa mahakama na muda wake mwenyewe kueleza nonsense.

Kimsingi mropokaji huyo kwenye majukwaa ya kisiasa, anahitaji usaidizi wa kisheria ili walau kumpunguzia mzigo wa kujieleza na msongo wa mawazo unaomtesa akiwa korokoroni na na unaomfedhehesha akiwa mahakamani.

Licha ya kiburi, ubinafsi na ubishi wake, kama mtaalamu muandamizi, nashauri Lisu asaidiwe ingawa it's too late kumnusuru huyo kibaraka wa mabwenyenye ya magharibi ambae anayostahili kupata haki yake mahakamani kulingana na tuhuma zinazomkabili. :NoGodNo:

Mungu Ibariki Tanzania
Unyonge wetu ni deni la taifa na huo ndo utumwa mpya,Mkoloni wetu mpya ni deni letu
 
Anajisahau mno mahakamani na kudhani kwamba anajieleza mbele ya wale wasio jua sheria aliozoea kuwabeba ufala kifikra, kwamba eti anajua shreia bara-bara. Ndiao maana, badala ya kujitetea kwa mujibu wa sheria kulingana na anachotuhumiwa nacho, Tundu Lisu anapoteza muda mwingi kulalamika na kulaumu mawakili wa Jamuhuri na saa zingine kumlaumu hakimu, huku akionyesha dhahiri kukata tamaa, kuchoka na kutegemea zaidi huruma ya mahakama na huruma wananchi wanafuatilia kesi hizo zinazomkabili. Ni wazi hana umahiri wowote kwenye tasnia ya sheria, hususan mahakamani.

Tundu Lisu ameuhadaa umma wa kitaifa na kimataifa kwa muda mrefu kwamba yeye ni mahiri wa sheria, lakini kupitia kesi zinazomkabili mahakamani kwa sasa, ameonyesha wazi kua sio mwanasheria mzuri, na ni mnyonge mno mahakamani licha ya majigambo yake na kujipiga kifua kwamba atajitetea mwenyewe mahakamani.

Tundu Lisu amechoka na ameelelemewa kisheria katika kila upande wa utetezi wake dhaifu wa maneno mengi na kupoteza muda mwingi wa mahakama na muda wake mwenyewe kueleza nonsense.

Kimsingi mropokaji huyo kwenye majukwaa ya kisiasa, anahitaji usaidizi wa kisheria ili walau kumpunguzia mzigo wa kujieleza na msongo wa mawazo unaomtesa akiwa korokoroni na na unaomfedhehesha akiwa mahakamani.

Licha ya kiburi, ubinafsi na ubishi wake, kama mtaalamu muandamizi, nashauri Lisu asaidiwe ingawa it's too late kumnusuru huyo kibaraka wa mabwenyenye ya magharibi ambae anayostahili kupata haki yake mahakamani kulingana na tuhuma zinazomkabili. :NoGodNo:

Mungu Ibariki Tanzania
jamaa ni kiazi sana.....yaani ni zelenski sana🤤
 
Anajisahau mno mahakamani na kudhani kwamba anajieleza mbele ya wale wasio jua sheria aliozoea kuwabeba ufala kifikra, kwamba eti anajua shreia bara-bara. Ndiao maana, badala ya kujitetea kwa mujibu wa sheria kulingana na anachotuhumiwa nacho, Tundu Lisu anapoteza muda mwingi kulalamika na kulaumu mawakili wa Jamuhuri na saa zingine kumlaumu hakimu, huku akionyesha dhahiri kukata tamaa, kuchoka na kutegemea zaidi huruma ya mahakama na huruma wananchi wanafuatilia kesi hizo zinazomkabili. Ni wazi hana umahiri wowote kwenye tasnia ya sheria, hususan mahakamani.

Tundu Lisu ameuhadaa umma wa kitaifa na kimataifa kwa muda mrefu kwamba yeye ni mahiri wa sheria, lakini kupitia kesi zinazomkabili mahakamani kwa sasa, ameonyesha wazi kua sio mwanasheria mzuri, na ni mnyonge mno mahakamani licha ya majigambo yake na kujipiga kifua kwamba atajitetea mwenyewe mahakamani.

Tundu Lisu amechoka na ameelelemewa kisheria katika kila upande wa utetezi wake dhaifu wa maneno mengi na kupoteza muda mwingi wa mahakama na muda wake mwenyewe kueleza nonsense.

Kimsingi mropokaji huyo kwenye majukwaa ya kisiasa, anahitaji usaidizi wa kisheria ili walau kumpunguzia mzigo wa kujieleza na msongo wa mawazo unaomtesa akiwa korokoroni na na unaomfedhehesha akiwa mahakamani.

Licha ya kiburi, ubinafsi na ubishi wake, kama mtaalamu muandamizi, nashauri Lisu asaidiwe ingawa it's too late kumnusuru huyo kibaraka wa mabwenyenye ya magharibi ambae anayostahili kupata haki yake mahakamani kulingana na tuhuma zinazomkabili. :NoGodNo:

Mungu Ibariki Tanzania
Screenshot_20250729-090555~2.png
 
Anajisahau mno mahakamani na kudhani kwamba anajieleza mbele ya wale wasio jua sheria aliozoea kuwabeba ufala kifikra, kwamba eti anajua shreia bara-bara, kumbea hana lolote. Ndio maana, badala ya kujitetea kwa mujibu wa sheria kulingana na anachotuhumiwa nacho, Tundu Lisu anapoteza muda mwingi kulalamika na kulaumu mawakili wa Jamuhuri na saa zingine kumlaumu hakimu, huku akionyesha dhahiri kukata tamaa, kuchoka na kutegemea zaidi huruma ya mahakama na huruma wananchi wanaofuatilia kesi hizo zinazomkabili. Ni wazi hana umahiri wowote kwenye tasnia ya sheria, hususan mahakamani.

Tundu Lisu ameuhadaa umma wa kitaifa na kimataifa kwa muda mrefu kwamba yeye ni mahiri wa sheria, lakini kupitia kesi zinazomkabili mahakamani kwa sasa, ameonyesha wazi kua sio mwanasheria mzuri, na ni mnyonge mno mahakamani licha ya majigambo yake na kujipiga kifua kwamba atajitetea mwenyewe mahakamani.

Tundu Lisu amechoka na ameelelemewa kisheria katika kila upande wa utetezi wake dhaifu wa maneno mengi na kupoteza muda mwingi wa mahakama na muda wake mwenyewe kueleza nonsense.

Kimsingi mropokaji huyo kwenye majukwaa ya kisiasa, anahitaji usaidizi wa kisheria ili walau kumpunguzia mzigo wa kujieleza na msongo wa mawazo unaomtesa akiwa korokoroni na na unaomfedhehesha akiwa mahakamani.

Licha ya kiburi, ubinafsi na ubishi wake, kama mtaalamu muandamizi katika siasa, kwa mambo yaendavyo mahakamani, nashauri Lisu asaidiwe hata kwa lazima ingawa it's too late kumnusuru kibaraka wa mabwenyenye ya magharibi ambae anastahili kupata haki yake mahakamani kulingana na tuhuma zinazomkabili kwa uwazi kama ambavyo kesi inaendelea. :NoGodNo:

Mungu Ibariki Tanzania
Bila mahakama kuingiliwa na wanasiasa hii kesi ingekuwa imefutwa zamani
 
Anajisahau mno mahakamani na kudhani kwamba anajieleza mbele ya wale wasio jua sheria aliozoea kuwabeba ufala kifikra, kwamba eti anajua shreia bara-bara, kumbea hana lolote. Ndio maana, badala ya kujitetea kwa mujibu wa sheria kulingana na anachotuhumiwa nacho, Tundu Lisu anapoteza muda mwingi kulalamika na kulaumu mawakili wa Jamuhuri na saa zingine kumlaumu hakimu, huku akionyesha dhahiri kukata tamaa, kuchoka na kutegemea zaidi huruma ya mahakama na huruma wananchi wanaofuatilia kesi hizo zinazomkabili. Ni wazi hana umahiri wowote kwenye tasnia ya sheria, hususan mahakamani.

Tundu Lisu ameuhadaa umma wa kitaifa na kimataifa kwa muda mrefu kwamba yeye ni mahiri wa sheria, lakini kupitia kesi zinazomkabili mahakamani kwa sasa, ameonyesha wazi kua sio mwanasheria mzuri, na ni mnyonge mno mahakamani licha ya majigambo yake na kujipiga kifua kwamba atajitetea mwenyewe mahakamani, kitua ambacho kinaashiria wazi anakwenda kuangukia pua.

Tundu Lisu amechoka na ameelelemewa kisheria katika kila upande wa utetezi wake dhaifu wa maneno mengi na kupoteza muda mwingi wa mahakama na muda wake mwenyewe kueleza nonsense.

Kimsingi mropokaji huyo kwenye majukwaa ya kisiasa, anahitaji usaidizi wa kisheria ili walau kumpunguzia mzigo wa kujieleza na msongo wa mawazo unaomtesa akiwa korokoroni na unao mfedhehesha akiwa mahakamani.

Licha ya kiburi, ubinafsi na ubishi wake, kama mtaalamu muandamizi katika siasa, kwa mambo yaendavyo mahakamani, nashauri Lisu asaidiwe hata kwa lazima, ingawa it's too late kumnusuru kwa chochote kibaraka wa mabwenyenye ya magharibi ambae anastahili kupata haki yake mahakamani kulingana na tuhuma zinazomkabili kwa uwazi kama ambavyo kesi inaendelea. :NoGodNo:

Mungu Ibariki Tanzania
Mawakili wa ccm na Hakimu wa ccm hawajui sheria hawana weledi hawafanyi kazi kwa mujibu wa sheria bali wanafanya kazi kwa mujibu wa Amri haramu za kishetani toka kwa ibilisi wa ccm
 
Kweli kabisa
Mahakamaccm ni Ghetto binafsi la ccm likiongozwa na hakimu kada wa ccm na mawakiliccm wajinga jinga wasio na sifa ya kuitwa mawakili kwa vioja vituko vyao mahakamani, hao Bush loyer wa ccm wamejidhalilisha sana na kuharibu heshima ya mahakama ambapo sasa ni ofisi ya ibilisi wa ccm
 
Back
Top Bottom