Wakili Robert Amsterdam ni nani?

Mzee mmoja wa nchi ya ulaya, shoga, kachanganyikiwa, msambazaji wa imani ya ushoga, anatafuta umaarufu, kajichokea, hana la kufanya zaidi anatafuta kiki ya ya kujiona au kuonekana anafanya cha maana duniani, tumpuuze tu...
 
nimemsikia Heche akimtaja tena huyu wakili
 
Mods mliunganisha hii thread yangu ..nimepata tabu kuisaka
 
Bwa mdogo hebu tulia acha legends tukupe vitu
Legend enzi zako zimepita hizi ni za malegendary wa viwango vyako vya enzi hizo kama akina Mwashambwa,Tlatlaah,choice variable na chawa wafananao.
 
Legend enzi zako zimepita hizi ni za malegendary wa viwango vyako vya enzi hizo kama akina Mwashambwa,Tlatlaah,choice variable na chawa wafananao.
wote hao wamenikuta na wakaniacha
 
Hakuweka wanasiasa kifungoni ???

Nikuongeze pia alitengeneza wakimbizi wa kisiasa wengi kwa mara ya kwanza kuzidi hata awamu ya kwanza.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…