PAYE
JF-Expert Member
- Jun 19, 2025
- 354
- 395
Wakili Msomi kutoka ofisi ya mwanasheria Mkuu wa serikali, Patrick Stephen Malogoi amerejesha fomu ya kugombea ubunge Jimbo la Geita kupitia Chama Cha Mapinduzi (CCM).
Hii ni mara ya pili kwa wakili Malogoi kuomba ridhaa ya CCM ambapo katika kura za maoni za mwaka 2020 na kushika nafasi ya pili akimfuata Joseph Kasheku (Musukuma) aliyeshika nafasi ya kwanza na baadaye akapitishwa kuwa mgombea ubunge wa Jimbo hilo na kushinda uchaguzi.
Wakili Malogoi ameweka wazi kuwa zoezi la uchukuaji fomu kwa wilaya ya Geita linaendelea vizuri na yupo tayari kuchuana na watia nia wengine wa jimbo la Geita (Geita vijijini) akiwemo mbunge anayemaliza muda wake, Joseph Kasheku (Msukuma).
Hii ni mara ya pili kwa wakili Malogoi kuomba ridhaa ya CCM ambapo katika kura za maoni za mwaka 2020 na kushika nafasi ya pili akimfuata Joseph Kasheku (Musukuma) aliyeshika nafasi ya kwanza na baadaye akapitishwa kuwa mgombea ubunge wa Jimbo hilo na kushinda uchaguzi.
Wakili Malogoi ameweka wazi kuwa zoezi la uchukuaji fomu kwa wilaya ya Geita linaendelea vizuri na yupo tayari kuchuana na watia nia wengine wa jimbo la Geita (Geita vijijini) akiwemo mbunge anayemaliza muda wake, Joseph Kasheku (Msukuma).