AS VITA na Mazembe, AS alinyanyang'anywa point Mazembe akawa bingwa.
Sasa Nugaz kapotosha nini na kesi ipo CAS bado hukumu na tar 29 inasikilizwa.Nyie kipindi fulani 2016/17 mliandika barua kwenda FIFA ili yanga apokonywe ubingwa wa 2016/2017 iliishia wapi.
Ninakumbusha tu.