DuaZaMama
JF-Expert Member
- Jun 2, 2025
- 1,882
- 4,129
Msimamizi wa uchaguzi wa Jimbo la Moshi Mjini, Wakili Sifaeli Kulanga, ametoa tathmini ya mwenendo wa zoezi la kupiga kura katika Uchaguzi Mkuu wa mwaka 2025.Akizungumza Wakili Kulanga amesema, vituo vyote vimefunguliwa na kuwataka wananchi kufika kwenye vituo kwa lengo la kupiga kura na kutimiza haki yao ya kisheria.
Pia Wakili Kulanga pia aliwahimiza wananchi kuzingatia taratibu na masharti yaliyowekwa na Tume ya Taifa ya Uchaguzi ili kuendeleza uchaguzi huru, wa haki, na wa uwazi.Wananchi wa Moshi Mjini wameendelea kushiriki kikamilifu katika zoezi la kupiga kura, wakionyesha mshikamano na kuheshimu taratibu zilizowekwa.
Pia Wakili Kulanga pia aliwahimiza wananchi kuzingatia taratibu na masharti yaliyowekwa na Tume ya Taifa ya Uchaguzi ili kuendeleza uchaguzi huru, wa haki, na wa uwazi.Wananchi wa Moshi Mjini wameendelea kushiriki kikamilifu katika zoezi la kupiga kura, wakionyesha mshikamano na kuheshimu taratibu zilizowekwa.