bampami
JF-Expert Member
- Nov 5, 2011
- 5,700
- 4,126
Nipo Hapa Nairobi Kenya Siku Ya Tatu Sasa..mda huu nimekaa naongelea nyumbani Tz, Nimekaa na wakenya wawili hapa dah jamani kumbe wakenya wanatujua sana watz na wanampemda kishenzi LOWASSA yaani ile slogani ya Mabadiliko wanaijua vilivyo...wanatamani CCM iondoke madarakani wanamchukia sana mkuu wetu ukisikia wanavyomsema na alivyoshindwa kuhandle nchi hii kimaendeleo...wanasema angekuwa uhuru ndo raisi wa tz miaka miwili tu mambo yangekuwa bye..
Ukiwasikia wanavyoongea utafutahi yaani......
Basi nikawaonyeshea vidole viwili juu wao wakasema lowassa hadi raha...
USHAURI walionipa tusifanye MAKOSA mwaka huu.....
GO GO GO UKAWA NAKUJA KUONGEZA KURA YANGU KICHINJIO NINACHOO........
Peooooooooooopleeeeeeeeeeeeezzzzzzzzzzz!!!!
Ukiwasikia wanavyoongea utafutahi yaani......
Basi nikawaonyeshea vidole viwili juu wao wakasema lowassa hadi raha...
USHAURI walionipa tusifanye MAKOSA mwaka huu.....
GO GO GO UKAWA NAKUJA KUONGEZA KURA YANGU KICHINJIO NINACHOO........
Peooooooooooopleeeeeeeeeeeeezzzzzzzzzzz!!!!