Wakenya wanafaidika vipi na vita ya somalia?

hazole1

JF-Expert Member
Jan 3, 2015
4,319
3,911
Kuanzia saizi wakenya hawajui ni nini kitayokea dakika 1 mbele na hii yote ni kutokana kuingilia vita ya somalia ya wenyewe kwa wenyewe. Na ambayo wasomali wamepigana miaka nenda rudi lakini leo hii naona yeye mkenya amejipeleka kichwa kichwa.

Na Kwa kifupi tu niseme wakenya kwenye ile vita ya somalia wanafanya biashara kichaa.

Kwanini wakenya hiyo vita wasiachane nayo waangalie maisha yao.

Kwasababu nikiangalia pale wakenya wanafanya biashara kichaa.
Yani wanapigana vita ambayo hawajui mwisho wake na hilo swala
Wangewaachia umoja wa nchi za afrika wao ndio wapigane.
 
nchi zote zenye mipaka na somalia zina majeshi huko ili kupambana na alshabab, ethiopia, kenya na hata djibouti. Its just comon sense , kenya wasipopigana vita huko, nani ataenda? jwtz may be?
 
Kenya wameingilua vita hiyo ni kwa kuzingatia stratejia za kiulinzi kama ambavyo Tanzania imewahi kusaidia kuwepo kwa Serikali imara kwa nchi jirani hasa Msumbiji,Congo DRC,Uganda,Burundi na Rwanda- KWA KIFUPI ILI NCHI YAKO IPATE MAENDELEO YA SEKTA ZOTE NI MUHIMU PIA KUWEPO KWA AMANI KWA NCHI JIRANI
 
usichangie kitu kwenye vita vya kikabila utashtukia huyu hapa wamekugeuzia kibao"kiroboto nature
 
Kenya alikuwa hana nia ya kuingia kwenye hiyo vita ya Somalia, Al shabab walipoanza kuteka watalii kwenye ardhi ya kenya, ndipo kenya ikaingia vitani. Kenya ilikuwa hamna namna lazima wangeingia, najua hata wao hawakupenda kufanya hivyo, ila ilikuwa lazima kwa ajili ya uchumi wao wa utalii.
 
Kenya ina mgogoro wa mpaka wa bahari ya hindi kwahiyo kitendo cha Kenya kuingia Somalia kwa kisingizio cha kuwaangamiza Alshaabab ni janja ya kuipunguza nguvu Somalia iwe dhaifu kudai mpaka wake.
 
Kuanzia saizi wakenya hawajui ni nini kitayokea dakika 1 mbele na hii yote ni kutokana kuingilia vita ya somalia ya wenyewe kwa wenyewe. Na ambayo wasomali wamepigana miaka nenda rudi lakini leo hii naona yeye mkenya amejipeleka kichwa kichwa.

Na Kwa kifupi tu niseme wakenya kwenye ile vita ya somalia wanafanya biashara kichaa.

Kwanini wakenya hiyo vita wasiachane nayo waangalie maisha yao.

Kwasababu nikiangalia pale wakenya wanafanya biashara kichaa.
Yani wanapigana vita ambayo hawajui mwisho wake na hilo swala
Wangewaachia umoja wa nchi za afrika wao ndio wapigane.
Somalia ni soko kubwa la Mirungi. Wanavyoendelea kupigana na ulaji wa mirungi huongezaka
 
Kenya alikuwa hana nia ya kuingia kwenye hiyo vita ya Somalia, Al shabab walipoanza kuteka watalii kwenye ardhi ya kenya, ndipo kenya ikaingia vitani. Kenya ilikuwa hamna namna lazima wangeingia, najua hata wao hawakupenda kufanya hivyo, ila ilikuwa lazima kwa ajili ya uchumi wao wa utalii.
No research no right to speak
 
Watanzania yani nawafaninisha na wanawake yani wewe watu wanatishia usalama wa mipaka ya nchi yako halafu isilinde? nini maana ya jeshi? nini maana ya vyombo vya ulinzi na usalama? au unazani kupiga domo kama ww huku JF?
Fucky your a$$ hole all night bitch.
Acha hizo KDF iko somalia kutafuta easichana wa kusomali tunajua vile munapenda K.ndio maana munakufa km kuku wa mdondo. Mnauza mkaa kismayoo. Kwa kweli mnatia aibu sana.
Watanzania yani nawafaninisha na wanawake yani wewe watu wanatishia usalama wa mipaka ya nchi yako halafu isilinde? nini maana ya jeshi? nini maana ya vyombo vya ulinzi na usalama? au unazani kupiga domo kama ww huku JF?
Fucky your a$$ hole all night bitch.
Acha hizo KDF iko somalia kutafuta easichana wa kusomali tunajua vile munapenda
 
Vita dhidi ya ugaidi si lele mama! Uingereza na ujanja wao wote bado wanahangaishwa na magaidi! Sote tunafahamu kilichomkuta marekani September 11.

Ufaransa vile vile, na kwingineko duniani. Kama unawashangaa Kenya kwenda somalia mbona hukushangaa jwtz walivyoenda Congo kuwapiga M23?

Ni busara tu ya kawaida kumfuata adui badala ya kumsubiri aje.

Kuna wapuuzi kadhaa wanasumbua serikali yetu hapo kibiti, alaf wewe unashangaa Kenya kusumbuliwa na magaidi ambao wako organized kama al shabab?

Nigeria ni moja ya nchi zenye majeshi imara zaid hapa Africa, lakini wanalizwa na boko haram.

vita ya nchi na nchi ni rahisi kuisha, lakini sio vita dhidi ya ugaidi. Watu wanajichanganya na raia wako, then wanajitoa muhanga! Sio rahisi kama tunavyodhani.

Tanzania tumejaliwa amani na utulivu, tumshukuru Mungu! Ila tusijisahau tukawaona wanaopitia hali ngumu dhidi ya ugaidi kua ni wazembe!

- KANA -
 
Back
Top Bottom