Magonjwa Mtambuka
JF-Expert Member
- Aug 2, 2016
- 29,692
- 26,199
Hii corona inaleta kizaazaa sasa. Nyie wakenya acheni kujisifia eti mnaongea kizungu. Hapa ni JKIA usiku huu. Inauma lakini inabidi jamaa wazoee tu.
Bisha kama ni uongo. Hapa tupo kuhabarishana.umechukua nafasi ya geza ulole na mwenzake?
acha kuchongoa mdomo sana wakati hapahapa kwetu vijana wanaachishwa kazi na kupewa likizo zisizo na malipo huku mzilankanda kajificha kusiko julikanaBisha kama ni uongo wewe. Hapa tupo kuhabarishana.
Sasa wewe nyang'au koko unaleta hii habari ili iweje, ndio hao wafanyakazi wa JKIA watarudishwa au?acha kuchongoa mdomo sana wakati hapahapa kwetu vijana wanaachishwa kazi na kupewa likizo zisizo na malipo huku mzilankanda kajificha kusiko julikana
View attachment 1434029
ndio uache umbea dada mgonjwamtambuka kushadidia ya wenzako wakati wadogozako wanapitia hali hiyohiyo na mmekaa kimyaSasa wewe nyang'au koko unaleta hii habari ili iweje, ndio hao wafanyakazi wa JKIA watarudishwa au?
Na nitakapokubenua ndio utaacha kubinya pua, umesikia?...dada mgonjwamtambuka...
Aii pata uhondo wa mafii mbrrrrrr mbrrr mbrrr mbrrrNa nitakapokubenua ndio utaacha kubinya pua, umesikia?
Niko hapa mjini nakutafuta nikuzabe vibao.Aii pata uhondo wa mafii mbrrrrrr mbrrr mbrrr mbrrr
Mbusii wewee
Who said Kenya is unique?...Kenya is not unique
You implied it!Who said Kenya is unique?
Only in your head.You implied it!
Why fixate on Kenya then when your compatriot has shown you that the same or even worse is happening in your country?Only in your head.