Wakenya tushukuru Mungu kwa demokrasia yetu, watani wetu wamebanwa hadi wanalia toshaaa, wanakiri kwamba nchi yao sasa imekuwa 'Police State'

Ahaaa haaa haaa
Wale waliopigwa risasi wakiandamana hawakuja watu?
Huwezi tamka katiba bila Raila,kama kuna political torelance why yale mauaji ya watu kwenye maandamano wakati baba anarudi kenya toka ziarani
Hongera zenu kwa kuwa wanaume waoga. Naona mmejikita kwenye kuikashifu demokrasia ya Kenya ila hamuisifii wala hamdhubutu kuitaja Tz. Sitawakwaza, acha tukubaliane tu, kwamba Kenya kwenye demokrasia bado sana na Tz ndio ina demokrasia kamili, ya kuigwa na nchi zote duniani.
 
HALI NI MBAYA SANA, SOCIALLY,ECONOMICALLY,POLITICALLY ,TUNA PRESIDENT AMBAYE ANASEMA ALIONA 42 PEOPLE WALICHUKUA FORM YA KUOMBA U RAIS NA YEYE AKAONA BORA AJARIBU ILA ANASIKITIKA KWAMBA NI KAZI NGUMU YET ANAONEKANA KILA DALILI ZA KUWA KAMA RAFIKIYE KAGAME
NDUGU ZANGU YATAKUJA MA ROBOT YA CCM HAPA NAOMBA MUYAPUUZE, LEO KUNA CLIP INA SURFACE YA REGION COMMISIONER WA TABORA ANAITWA AGGREY MWANRI ANASEMA GOD SHOULD THANK MAGUFULI NDUGU ZETU WAKENYA NDIPO TULIPOFIKIA HAPO MNA HAKI YA KUTUCHEKA NA KUTUONEA HURUMA
 
Boss umebofya hiyo link hapo na ukasoma taarifa yenyewe? Au umetangulia tu kutupia comment ya kishabik? Hii ni sifa mbaya sana kwa nchi yenu. Wakenya tumeishi kwenye hali kama hiyo ya 'police state' chini ya utawala wa rais mstaafu Daniel Arap Moi, almaarufu Nyayo. Usitamani kuyaona yale ambayo sisi tuliyashuhudia. Wazazi wetu wakivamiwa usiku wa manane na kuzabwa makofi, huku wakinyanyuliwa juu kwa juu na kutupwa kwenye landcruiser na kutawacha tukijiuliza kama ndio itakuwa siku yetu ya mwisho ya kuwaona kwa macho yetu mawili.
Ukweli mchungu ni kwamba watz wengi kwasasa wanaichukia sana serikali Yao maana Imekuwa katili kwao yani ikitokea vita sasa wengi watakaa upande wa adui ili ccm ianguke
 
Kenya ni nchi ya familia mbili zinagombana na kupata Kenyatta family na Jaramogi Odinga Oginga. Wengine manyumbu tu

Sent using Jamii Forums mobile app
tanzania familia ni moja tu.......
1066471
 
Utawala bora huwa hauna la kuficha wala kuogopa, iwe ni kutoka kwa wengi au walio wachache, hata iwe mtu mmoja. Ningependa uje na takwimu za kueleweka kama ushahidi kwamba wapinzani Tz sio zaidi ya 5,000. Maanake nadhani unaongea kuhusu Tz nyingine na sio hii ambayo wengine wetu tunaifahamu vizuri.
Nini JPM kaficha? Utawalawa wake ni wa uwazi sana, kila siku ana watumbua mawaziri, wakuu wa polisi nkt tena hadharani...Juzi tu kenyatta kaongea kuhusu mafisadi kwa ubabe....ilibidi afute accout zake zote za social media
 
Hongera zenu kwa kuwa wanaume waoga. Naona mmejikita kwenye kuikashifu demokrasia ya Kenya ila hamuisifii wala hamdhubutu kuitaja Tz. Sitawakwaza, acha tukubaliane tu, kwamba Kenya kwenye demokrasia bado sana na Tz ndio ina demokrasia kamili, ya kuigwa na nchi zote duniani.
No no! I admit bado tuna shida kwenye democracy ila time will come kama ilivyokuwa kenya that through tribalism and democracy fighting you shed blood na mkapata katiba nzuri kuliko ya MaRekani but sisi africans tuna shida kwenye kuheshimu katiba coz from first place tunakosa NIA NJEMA
 
Ukweli mchungu ni kwamba watz wengi kwasasa wanaichukia sana serikali Yao maana Imekuwa katili kwao yani ikitokea vita sasa wengi watakaa upande wa adui ili ccm ianguke
Mimi nashangazwa tu na wanavojitia hamnazo humu kuhusu taarifa ambazo zimetoka kwa mashirika ya kitanzania, tena yanayofahamika vizuri, kama Legal and Human Rights Commission(LHRC) na Tanzania Human Rights Defenders Coalition(THRDC). Sitaki kuamini kwamba ni kwasababu ya uoga, nadhani ufahamu wa haki zao msingi haupo kabisa pia kwa baadhi ya watanzania.
 
Mimi nashangazwa tu na wanavojitia hamnazo humu kuhusu taarifa ambazo zimetoka kwa mashirika ya kitanzania, tena yanayofahamika vizuri, kama Legal and Human Rights Commission(LHRC) na Tanzania Human Rights Defenders Coalition(THRDC). Sitaki kuamini kwamba ni kwasababu ya uoga, nadhani ufahamu wa haki zao msingi haupo kabisa pia kwa baadhi ya watanzania.
Watanzania wengi ni wapumbavu we unadhani Inaingia akili wanasiasa eti wanaenda ccm kuunga mkono juhudi za malaika juhudi zipi ? Hata kama wanatishiwa kuuwawa kwa wingi wao wangeshtaki hata un
 
Utawala bora huwa hauna la kuficha wala kuogopa, iwe ni kutoka kwa wengi au walio wachache, hata iwe mtu mmoja. Ningependa uje na takwimu za kueleweka kama ushahidi kwamba wapinzani Tz sio zaidi ya 5,000. Maanake nadhani unaongea kuhusu Tz nyingine na sio hii ambayo wengine wetu tunaifahamu vizuri.
Huifaham Tz wewe. Wacha nikuache na ujinga wako, nchi yako ako na hali mbaya, unajifanya kuwa concerned na Tz. Baki hapo.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mimi nashangazwa tu na wanavojitia hamnazo humu kuhusu taarifa ambazo zimetoka kwa mashirika ya kitanzania, tena yanayofahamika vizuri, kama Legal and Human Rights Commission(LHRC) na Tanzania Human Rights Defenders Coalition(THRDC). Sitaki kuamini kwamba ni kwasababu ya uoga, nadhani ufahamu wa haki zao msingi haupo kabisa pia kwa baadhi ya watanzania.
Hao ni NGOs kama tu wale walio kuwa na ungomvi mwingi sana 2017 wakati wa uchaguzi kenya..Bahati nzuri uhuru aliwahangaisha vilivyo, wengi wakafuatwa na kesi za KRA wengine kesi za usajili gushi..
Magufuli pia anajaribu kuwadhibiti lakini hana roho ngumu kama kenyatta alivyo wadhibiti NGOs..
 
Back
Top Bottom