Wakenya ndiyo Waafrika wenye roho nzuri kuliko wote kwa mujibu wa Utafiti

Wakenya ni wa2 hatari mno, wengi wao wanaroho mbaya
Wakenya wana roho mbaya kwa Waafrika wenzao kwa wazungu wanajikomba sijawahi ona.Hilo shirika lililofanya utafit ni la wazungu ni kuwa wameangalia mwafrika gani anayelamba sana miguu ya mzungu na kumnyenyekea kupindukial wakaona ni mkenya wako sahihi kabisa
 
Musoma wababe sana kuna siku nilienda huko nilikuwa sijui maeneo vizuri nikachukua boda kutoka mara Dishezi mpaka mkendo kati eti anataka buku 2000 wakati hata kwa mguu ningetembea Ata kilomita moja haifiki.

Nimeishi Tarime 3 years, yasemwayo na yaliyopo ni tofauti, wapo safi kama hutowaletea dharau,na hata wakisumbuana wenyewe kwa wenyewe watahakikisha mgeni anabakia salama.
Na kwa asilimia zaid 80 tabia walizonazo Wakurya wanashabihiana na Kenyan
 
Tangu kabla ya uhuru hadi leo Wakenya wamekuwa na harambee ya kuchangia watoto wa familia zisizojiweza fedha za kuwawezesha kusoma ndani na nje ya nchi. Sisi tunachangia arusi tu kwa vile tunajua tutakwenda kula pale sehemu ya fedha zetu irudi
 

Aisee!
 
Kaka hivi unawajua Wakenya au unawasoma tu kwenye hayo magazeti,hamia Kenya au nenda ukaishi Kenya ndio utawajua Wakenya mambo mengine tuwe tunafanya tafiti kwanza kabla tu sababu za kiushabiki unakimbilia kucopy na kupaste jambo ambalo hulijui
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…