ndio sababu sisi huwadhihaki wazi wazi kwamba hamjui vipaumbele ni nini(matumizi sahihi ya akili).Wanatanzania Kiingereza ni shida kwenu. Yaani hamjui maana ya neno Pedestrian floating bridge
300,000 people huwa wanavuka Likoni channel kila siku. Sasa kati yako na serikali ya Kenya nani ndio mjinga? Hawa watu wote walikuwa wanafinyana ndani ya ferry hata social distancing hawawezi kufanya ili kuzuia corona. Saa zingine foleni ya kupanda ferry ilikuwa 2 kilometres long. This bridge is important to the people of that area. Wewe endelea kulia.ndio sababu sisi huwadhihaki wazi wazi kwamba hamjui vipaumbele ni nini(matumizi sahihi ya akili).
hivi kwa adha hizi unakwenda kuchoma pesa za wananchi kwa daraja la waenda kwa miguu pekee!!!!
halafu wewe unaamua kuwa mjinga na kulisifu sababu tu umeona neno floating hapo
300,000 wanavuka kwa mguu? Na serikali yenu ikateketeza billions of money kwenye hicho kituko?300,000 people huwa wanavuka Likoni channel kila siku. Sasa kati yako na serikali ya Kenya nani ndio mjinga? Hawa watu wote walikuwa wanafinyana ndani ya ferry hata social distancing hawawezi kufanya ili kuzuia corona. Saa zingine foleni ya kupanda ferry ilikuwa 2 kilometres long. This bridge is important to the people of that area. Wewe endelea kulia.
bro yaani nimesoma hiyo coment mpaka tumbo limejinyonga kwa mshtuko.300,000 wanavuka kwa mguu? Na serikali yenu ikateketeza billions of money kwenye hicho kituko?
Eti mnajiita mna akili!
😄😄😄😄 Inasikitisha kuona jinsi walivyo corrupted na nincoompop, yaani watu laki 3 on foot daily, ni kwa namna gani uchumi unaathirika?bro yaani nimesoma hiyo coment mpaka tumbo limejinyonga kwa mshtuko.
Wewe hujanielewa. 300,000 wanavuka kutoka upande mmoja hadi upande mwingine wa Likoni channel. Zamani abiria walikuwa wanavuka kwa kutumia ferry lakini sasa hivi wanatumia daraja.300,000 wanavuka kwa mguu? Na serikali yenu ikateketeza billions of money kwenye hicho kituko?
Eti mnajiita mna akili!
Daraja limefunguliwa mwezi huu. Sasa data kama hio unataka itoke wapi? Ni mapema sana kupata data kama hio.Wangapi wanavuka kwa miguu wangapi wanatumia fery
Watu 300k hawapaswi kuvuka kwa kutumia mguu haijalishi ni kwenye daraja au ferry, hiyo idadi ni kubwa mnoWewe hujanielewa. 300,000 wanavuka kutoka upande mmoja hadi upande mwingine wa Likoni channel. Zamani abiria walikuwa wanavuka kwa kutumia ferry lakini sasa hivi wanatumia daraja.
There is no permanent bridge at Likoni because the channel is used by ships going to Mombasa port ,building a bridge would block their path .Watu 300k hawapaswi kuvuka kwa kutumia mguu haijalishi ni kwenye daraja au ferry, hiyo idadi ni kubwa mno
Kufanya hivyo ni kuzorotesha maendeleo ya nchi sababu manpower kubwa inapoteza muda kwenye kuvuka kaeneo kadogo badala ya muda huo kufanya kazi
Kila mtu akipoteza saa 1 kwenye harakati za kuvuka daraja au ferry mara 300k ni masaa kiasi gani ya uzalishaji yamepotea? Ni pesa kiasi gani zimeondoka kwenye mzunguko?
Tena nasikia hilo daraja wananchi hawalitaki sababu lilipojengwa ni mbali na linawaongezea masaa mengi zaidi ya kupoteza kwenye kuvuka tu hako kaeneo, kinawashinda nini kujenga daraja kubwa magari ndio yawavushe?
This is the problem of using anus to think instead of brainWanatanzania Kiingereza ni shida kwenu. Yaani hamjui maana ya neno Pedestrian floating bridge
na mbona daraja halijafunguliwa mpaka sasa?300,000 people huwa wanavuka Likoni channel kila siku. Sasa kati yako na serikali ya Kenya nani ndio mjinga? Hawa watu wote walikuwa wanafinyana ndani ya ferry hata social distancing hawawezi kufanya ili kuzuia corona. Saa zingine foleni ya kupanda ferry ilikuwa 2 kilometres long. This bridge is important to the people of that area. Wewe endelea kulia.