Waufukweni
JF-Expert Member
- May 16, 2024
- 4,393
- 14,500
Baadhi ya Wakenya, akiwemo Mke wa Boniface Mwangi wamejitokeza nje ya Ubalozi wa Tanzania nchi humo, huku wakiwa na Bendera ya Tanzania, Uganda na Kenya wakishinikiza Serikali ya Tanzania kwa kuimba ili imuachie huru Boniface Mwangi. Katika video hii anaonekana Mke wa Boniface Mwangi akilia kwa uchungu.
Pia, Soma