Jamani kuishi mjini na ukiwa na uwezo wa at least maisha ya level ya Kati ni jaribu tosha ktk kulinda ndoa zetu.
Leo niwaambie dada zangu mlioolewa,
sisi waume zenu tunapitia mitihani mikubwa kukwepa vishawishi vya akina dada warembo wa mjini.
Kila eneo tunalotembelea unakutana na mdada mrembo kuliko wake zetu kwa kila idara mfano:
Figure/shape
Elimu
Ukarimu
Ucheshi
Huruma
Hata pesa...
Ukweli ni kuwa tukiamua kujiondoa ufahamu tu, hesabuni maumivu tu kuibiwa ni lazima.
Kuna nyakati Nimeamua kujipiga ban nisiperuzi baadhi ya akaunti za Instagram ilimradi tu kuepuka mawazo ya kuchepuka coz jamani dunia ina wasichana warembo hadi unahisi sijui wametengenezwa
Ombi kwa wake zetu ili kutuokoa na vishawishi hivi plz jitahidini kutupa sababu kwa nini tusifuate wanawake wengine na tutulie na nyinyi tu.
La sivyo msipojihimalisha kutucare hesabuni maumivu tu ya kuchepuka.
Dunia ina vingi vitamu vya kuliwa.
Leo niwaambie dada zangu mlioolewa,
sisi waume zenu tunapitia mitihani mikubwa kukwepa vishawishi vya akina dada warembo wa mjini.
Kila eneo tunalotembelea unakutana na mdada mrembo kuliko wake zetu kwa kila idara mfano:
Figure/shape
Elimu
Ukarimu
Ucheshi
Huruma
Hata pesa...
Ukweli ni kuwa tukiamua kujiondoa ufahamu tu, hesabuni maumivu tu kuibiwa ni lazima.
Kuna nyakati Nimeamua kujipiga ban nisiperuzi baadhi ya akaunti za Instagram ilimradi tu kuepuka mawazo ya kuchepuka coz jamani dunia ina wasichana warembo hadi unahisi sijui wametengenezwa
Ombi kwa wake zetu ili kutuokoa na vishawishi hivi plz jitahidini kutupa sababu kwa nini tusifuate wanawake wengine na tutulie na nyinyi tu.
La sivyo msipojihimalisha kutucare hesabuni maumivu tu ya kuchepuka.
Dunia ina vingi vitamu vya kuliwa.