KERO Wakazi wa IPOIPO kuelekea Kihonda Sekondari tunaendelea kupata adha kubwa kutokana na hali mbaya ya barabara

KERO Wakazi wa IPOIPO kuelekea Kihonda Sekondari tunaendelea kupata adha kubwa kutokana na hali mbaya ya barabara

Hii ni kero ambayo mwananchi ameiwasilisha JF akitaka wahusika kuchukua hatua

Mawele

JF-Expert Member
Joined
Jul 25, 2023
Posts
352
Reaction score
1,035
Wakazi wa maeneo ya IPOIPO kuelekea Kihonda Sekondari tunaendelea kupata adha kubwa kutokana na hali mbaya ya barabara hii.

Mvua ikinyesha hali inakuwa mbaya zaidi — magari, bajaji na pikipiki hupata shida kupita, na wakati mwingine usafiri husimama kabisa.

Wananchi tunapata mateso kila siku wakati wa kwenda kazini, shuleni na kwenye shughuli zetu za maisha.

Tunaomba viongozi na mamlaka husika muisikie sauti ya wananchi na mtusaidie kurekebisha barabara hii ili kurahisisha usafiri na kuondoa mateso yasiyo ya lazima.

Barabara imekua mbovu kwa muda hata kabla ya uchaguzi. Kuna kipindi magreda yalikuja kama geresha then yaliondolewa bila kazi yoyote kufanyika. Barabara hii ni kubwa inaunganisha barabara ya kwenda iringa na dodoma
Na imekua kimbilio kwa watu wanaokwepa barabara ya msamvu kwa kuwa inakua na foleni ya malori na magari

Ni kipande kidogo tu ila ni kimya. Barabara haina taa za barabarani na usiku ni giza.

Source: Habari Morogoro​

m1.jpg
m2.jpg
m3.jpg
 

Wakazi wa maeneo ya IPOIPO kuelekea Kihonda Sekondari tunaendelea kupata adha kubwa kutokana na hali mbaya ya barabara hii.

Mvua ikinyesha hali inakuwa mbaya zaidi — magari, bajaji na pikipiki hupata shida kupita, na wakati mwingine usafiri husimama kabisa.

Wananchi tunapata mateso kila siku wakati wa kwenda kazini, shuleni na kwenye shughuli zetu za maisha.

Tunaomba viongozi na mamlaka husika muisikie sauti ya wananchi na mtusaidie kurekebisha barabara hii ili kurahisisha usafiri na kuondoa mateso yasiyo ya lazima.

Wakazi wa maeneo ya IPOIPO kuelekea Kihonda Sekondari tunaendelea kupata adha kubwa kutokana na hali mbaya ya barabara hii.

Mvua ikinyesha hali inakuwa mbaya zaidi — magari, bajaji na pikipiki hupata shida kupita, na wakati mwingine usafiri husimama kabisa.

Wananchi tunapata mateso kila siku wakati wa kwenda kazini, shuleni na kwenye shughuli zetu za maisha.

Tunaomba viongozi na mamlaka husika muisikie sauti ya wananchi na mtusaidie kurekebisha barabara hii ili kurahisisha usafiri na kuondoa mateso yasiyo ya lazima.

View attachment 3552232View attachment 3552233View attachment 3552234
Hii barabara niliona mwisho wake tangu wameweka kokoto, kwa sasa hali ni shida sana toka IpoIpo hadi Kihonda sekondari, ila ndio hivyo.

Barabara nyingine korofi ni kutoka Darajani kuelekea Holy Cross, japo shule nzuri ziko pale na ni rahisi kupita ila barabara mbovu sana, kuna muda hata pikipiki unapita miguu chini kuzuia usianguke
 
Back
Top Bottom