Wakatisha tiketi mwendokasi ni jipu

The Tomorrow People

JF-Expert Member
Jul 11, 2013
2,662
2,745
wakuu habari,
Niende moja kwa moja kwa hawa wakatisha tiketi. Kuna mchezo wameanzisha wana dublicate tiketi na wanakuuzia. katika kila tiketi moja wanatengeneza mbili ile ya pili hela wanakula wao. sasa ukipewa ile dublicate wakati wa kutoka pale kwenye vile vi scana vyao lazima itabuma..."watakwambia kaka samahani pitia huku tiketi yako ni dublicate" Hella ishapigwa hapo

Jambo la pili, nauli za UDART ni 650, sasa kila mkatisha tiketi ile hamsini atasema hana. ukitoa 1000 unapewa 300. Jiulize 50 akipata watu 70 si ni 3500, kwa wiki ana 24500 kwa mwezi ana 98,000 akijumlisha dili za dublicate receipt plus mshahara? Shetani ampe nini tena?

Wasalaam.
 
Kuna mchezo wameanzisha wana dublicate tiketi na wanakuuzia. katika kila tiketi moja wanatengeneza mbili ile ya pili hela wanakula wao. sasa ukipewa ile dublicate wakati wa kutoka pale kwenye vile vi scana vyao lazima itabuma..."watakwambia kaka samahani pitia huku tiketi yako ni dublicate" Hella ishapigwa hapo
Achana na Mtanzania jaman hata umkabe vipi ataiba tu khaa:D:D
 
tutaje vituo vunavyofanya usanii mimi naanza na shekilango pale kila siku hawana chenji ya sh hamsini
 
wakuu habari,
Niende moja kwa moja kwa hawa wakatisha tiketi. Kuna mchezo wameanzisha wana dublicate tiketi na wanakuuzia. katika kila tiketi moja wanatengeneza mbili ile ya pili hela wanakula wao. sasa ukipewa ile dublicate wakati wa kutoka pale kwenye vile vi scana vyao lazima itabuma..."watakwambia kaka samahani pitia huku tiketi yako ni dublicate" Hella ishapigwa hapo

Jambo la pili, nauli za UDART ni 650, sasa kila mkatisha tiketi ile hamsini atasema hana. ukitoa 1000 unapewa 300. Jiulize 50 akipata watu 70 si ni 3500, kwa wiki ana 24500 kwa mwezi ana 98,000 akijumlisha dili za dublicate receipt plus mshahara? Shetani ampe nini tena?

Wasalaam.
Jamani kila mtu c anakula kwenye ofisi yake,madili makubwa c yamekufa ......hata 50 jamani
 
Kadi zipo unaropoka kuhusu tiketi huo ni ujinga wako kama hutaki kuibiwa kanunue kadi ili ubaki na hizo hamsa hamsa.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom