Tripo9
JF-Expert Member
- Sep 9, 2009
- 4,352
- 3,533
Jambo wapendwa
Wakati wa tendo la ndoa huwa unafumba macho kuusikilizaia utamu au unamkodolea mimacho mwenzako?
Mimi huwa nafumba macho. Siku moja nilikua na shem wenu fulani tuko faragha nimefumba macho kuskilizia majamboz, Kufungua macho yangu Dah, nakuta tu kanikodolea mimacho.....Kanikata stimu kishenzi yani.
Nawasilisha.
Wakati wa tendo la ndoa huwa unafumba macho kuusikilizaia utamu au unamkodolea mimacho mwenzako?
Mimi huwa nafumba macho. Siku moja nilikua na shem wenu fulani tuko faragha nimefumba macho kuskilizia majamboz, Kufungua macho yangu Dah, nakuta tu kanikodolea mimacho.....Kanikata stimu kishenzi yani.
Nawasilisha.