Wakati umefika sasa kwa viongozi waliyopayuka hapo awali kuwa hakutakuwepo na mgawo wa umeme tena.wajitokeze hadharani na kufuta kauli zao.YAANI WANAONGOZA UTAFIKIRI WAMEKATWA VICHWA aaghhh
Wakati umefika sasa kwa viongozi waliyopayuka hapo awali kuwa hakutakuwepo na mgawo wa umeme tena.wajitokeze hadharani na kufuta kauli zao.YAANI WANAONGOZA UTAFIKIRI WAMEKATWA VICHWA aaghhh
we unadhani hawakumbuki kwamba walisema hakutakua na mgao tena?ila sababu wao wanajua watanzania WAPOLE.tutawadanganya,wao,tutawaburuza,hadi wapate akili.TUPATE AKILI BASI KUWA TUMECHOKA KUDANGANYWA
hivi safari hii mbona hawakutangaza hadharani
kama tutagawiwa umeme
kwa mida ile ya jack bouer?aa(24) ASEE HII NJI IMEOZESHWA KABISAAA TENA KITU CHA MKEKA, KIMYAKIMYA
we unadhani hawakumbuki kwamba walisema hakutakua na mgao tena?ila sababu wao wanajua watanzania WAPOLE.tutawadanganya,wao,tutawaburuza,hadi wapate akili.TUPATE AKILI BASI KUWA TUMECHOKA KUDANGANYWA
hivi safari hii mbona hawakutangaza hadharani kama tutagawiwa umemekwa mida ile ya jack bouer?aa(24) ASEE HII NJI IMEOZESHWA KABISAAA TENA KITU CHA MKEKA, KIMYAKIMYA