Ha ha ha rafiki duuuuh hii ni ndoto kaka haitakua wala nini... CCM Chama kubwa ata wakihama watu lakimoja, CCM haitingishiki ata kidogo... Unachosema wewe ni sawa na mkia wa Ng'ombe utingishe kiwiliwili
Ngada.com ndio wanaopiga kelele haiitaji rocket science kulijua hilo.. na subiri 2020 mtapigwa chini kwa aibu... JPM endelea kusomesha watu namba hamna namna..