Mshana Jr
Platinum Member
- Aug 19, 2012
- 360,814
- 831,027
Maji yanapojaa humwagika, uchungu unapozidi watu hulia, maumivu yakizidi mtu hupiga kelele
Ukimsifia mtu kuwa ana mbio sana usimsahau na anayemkimbiza..kwakuwa usingejua mbio zake bila huyo....!!!!
Kuna uprising ya wazi ndani ya chama cha mapinduzi, kuna uprising kubwa kwa wasanii, kuna uprising kubwa kwenye kila kada ndani ya jamii
Woga umewatoka watu, ni aina fulani ya mchoko... Bahati mbaya sana mchoko huo indicator imetoka ndani ya chama dume.. Watu waliandamana mioyoni Kimyakimya Kimyakimya lakini sasa sio siri tena No longer at ease n things fall apart..
Huu sio utabiri ni maono yenye kubeba uhalisia..... Muda Kama huu mwakani ccm itakuwa sio hii ya sasa iliyoshikiliwa na fito chache...
Ukimsifia mtu kuwa ana mbio sana usimsahau na anayemkimbiza..kwakuwa usingejua mbio zake bila huyo....!!!!
Kuna uprising ya wazi ndani ya chama cha mapinduzi, kuna uprising kubwa kwa wasanii, kuna uprising kubwa kwenye kila kada ndani ya jamii
Woga umewatoka watu, ni aina fulani ya mchoko... Bahati mbaya sana mchoko huo indicator imetoka ndani ya chama dume.. Watu waliandamana mioyoni Kimyakimya Kimyakimya lakini sasa sio siri tena No longer at ease n things fall apart..
Huu sio utabiri ni maono yenye kubeba uhalisia..... Muda Kama huu mwakani ccm itakuwa sio hii ya sasa iliyoshikiliwa na fito chache...