Wakati si milele

Mshana Jr

Platinum Member
Joined
Aug 19, 2012
Posts
360,814
Reaction score
831,027
Maji yanapojaa humwagika, uchungu unapozidi watu hulia, maumivu yakizidi mtu hupiga kelele
Ukimsifia mtu kuwa ana mbio sana usimsahau na anayemkimbiza..kwakuwa usingejua mbio zake bila huyo....!!!!

Kuna uprising ya wazi ndani ya chama cha mapinduzi, kuna uprising kubwa kwa wasanii, kuna uprising kubwa kwenye kila kada ndani ya jamii

Woga umewatoka watu, ni aina fulani ya mchoko... Bahati mbaya sana mchoko huo indicator imetoka ndani ya chama dume.. Watu waliandamana mioyoni Kimyakimya Kimyakimya lakini sasa sio siri tena No longer at ease n things fall apart..

Huu sio utabiri ni maono yenye kubeba uhalisia..... Muda Kama huu mwakani ccm itakuwa sio hii ya sasa iliyoshikiliwa na fito chache...
 
Wacha tuone hili picha litaishaje.kikubwa lisiwe la kumwaga damt.
 
Ushaambiwa hao wanaompinga au kupiga kelele ni katika kundi lile la wafanyabiashara haramu huhitaji kufikiria mara mbili .
 
Weeh jamaa nae ni mnafiki......Hivi tokea umeanza kusema CCM inakufa mbna haijawa timia?????
Utaondoka wewe utaiacha CCM. BADO INAPETA......
 
Weeh jamaa nae ni mnafiki......Hivi tokea umeanza kusema CCM inakufa mbna haijawa timia?????
Utaondoka wewe utaiacha CCM. BADO INAPETA......
Basi utakuwa hujui maana ya unafiki
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…