johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 83,957
- 141,949
Wakati Rais wetu mpendwa akipambana usiku na mchana kuhakikisha matumizi ya fedha za walipa kodi yanasimamiwa vizuri ili kuwaletea wananchi maendeleo, wabunge wetu watakuwa na sherehe kubwa siku za usoni kujipongeza kwa ushindi mnono michezoni waliojipatia huko Rwanda.Sherehe hizo zitawashirikisha wabunge wote wakiwemo wale wa kambi rasmi ya upinzani.
Hapa ndipo Johnthebaptist najiuliza isije kuwa viongozi wetu wanajenga mnara wa babeli bila wao kujua?!
Niishie hapo!
Hapa ndipo Johnthebaptist najiuliza isije kuwa viongozi wetu wanajenga mnara wa babeli bila wao kujua?!
Niishie hapo!