GENTAMYCINE
JF-Expert Member
- Jul 13, 2013
- 56,853
- 109,547
Huku nchi moja barani Afrika ( jina nimeisahau nikikumbuka nitaitaja ) ikiwa si muda mrefu tu imetoka Kuzindua ' mfumo ' wake wa Kimawasiliano ukiwa na lengo Kuu la ' Kuchungulia ' meseji za Raia wake na ' Kuwadhibiti ' Watumiaji wake wawe wanaandika tu Habari za Kusifu na Kupamba hatimaye nchi ya Rwanda yaja Kivingine na huenda hili likawa ni ' Funzo ' kwa hiyo nchi niliyoisahau jina.
Ni kwamba Mwezi ujao ( namaanisha February 2019 ) nchi ya Rwanda itakuwa ni ' Mwenyeji ' wa ' Kongamano ' kubwa la Masuala mazima ya Teknolojia na Mawasiliano litakalowakutanisha ' Wadau ' mbalimbali kutoka sehemu mbalimbali duniani huku lengo Kuu likiwa siyo ' Kuchungulia ' Meseji za Watu bali ni kuwasaidia Wananchi Wao kutumia Teknolojia na Mawasiliano katika Kudumisha Ufahamu, Bishara, Elimu na pia kutoa Uhuru wa Kutosha kwa Wananchi katika Kuzikosoa nchi zao lakini pia kudumisha ' Demokrasia ' katika nchi zao.
Wakati katika hiyo nchi niliyoisahau Jina Wageni waalikwa walikuwa ni 700 ambao kati ya hao 658 hawana ' Utaalam ' wowote bali walialikwa tu ili wakasifu na kushangilia kisha baadae wakalishwe ' Pilau ' la bure na wapewe Tsh 5,000/ kama Nauli na asante yao ya Kupoteza muda wao walipoalikwa, wakati kwa Rwanda Wageni waalikwa wa hilo ' Kongamano ' kubwa ni 400 ambapo wote hao ni Wataalam ( Experts ) tena wakubwa sana duniani katika masuala mazima ya Teknolojia na Mawasiliano.
Ni vyema hiyo nchi niliyoisahau Jina ikajifunza zaidi mambo mengi ya Kimaendeleo kutoka kwa nchi ndogo tu ya Rwanda yenye ' Ubarikio ' wa Watu wenye ' akili ' zinazowakaribia ' Wayahudi ' ili basi iweze kuendesha mambo yake. Teknolojia na Mawasiliano yawe ni ' chachu ' ya Kimaendeleo katika nchi na siyo ' adhabu ' kwa Wananchi kwa kuanza ' Kuwadhibiti ' na ' Kuchungulia ' hovyo Meseji zao na Wapenzi Wao au kama kutaka ' Kuwakomoa ' vile.
Akhsanteni Rwanda
Mungu ibariki Rwanda
Mwenyezi Mungu mbariki GENTAMYCINE ANTIBIOUTIQUE
Nawasilisha.
Kwa wale watakaotaka Kusoma zaidi hasa juu ya hilo ' Kongamano ' Kubwa linaloandaliwa na Rwanda na litakalofanyika Mwezi ujao nendeni moja kwa moja katika Mtandao wa Habari wa CNBC Africa tafadhali.
Ni kwamba Mwezi ujao ( namaanisha February 2019 ) nchi ya Rwanda itakuwa ni ' Mwenyeji ' wa ' Kongamano ' kubwa la Masuala mazima ya Teknolojia na Mawasiliano litakalowakutanisha ' Wadau ' mbalimbali kutoka sehemu mbalimbali duniani huku lengo Kuu likiwa siyo ' Kuchungulia ' Meseji za Watu bali ni kuwasaidia Wananchi Wao kutumia Teknolojia na Mawasiliano katika Kudumisha Ufahamu, Bishara, Elimu na pia kutoa Uhuru wa Kutosha kwa Wananchi katika Kuzikosoa nchi zao lakini pia kudumisha ' Demokrasia ' katika nchi zao.
Wakati katika hiyo nchi niliyoisahau Jina Wageni waalikwa walikuwa ni 700 ambao kati ya hao 658 hawana ' Utaalam ' wowote bali walialikwa tu ili wakasifu na kushangilia kisha baadae wakalishwe ' Pilau ' la bure na wapewe Tsh 5,000/ kama Nauli na asante yao ya Kupoteza muda wao walipoalikwa, wakati kwa Rwanda Wageni waalikwa wa hilo ' Kongamano ' kubwa ni 400 ambapo wote hao ni Wataalam ( Experts ) tena wakubwa sana duniani katika masuala mazima ya Teknolojia na Mawasiliano.
Ni vyema hiyo nchi niliyoisahau Jina ikajifunza zaidi mambo mengi ya Kimaendeleo kutoka kwa nchi ndogo tu ya Rwanda yenye ' Ubarikio ' wa Watu wenye ' akili ' zinazowakaribia ' Wayahudi ' ili basi iweze kuendesha mambo yake. Teknolojia na Mawasiliano yawe ni ' chachu ' ya Kimaendeleo katika nchi na siyo ' adhabu ' kwa Wananchi kwa kuanza ' Kuwadhibiti ' na ' Kuchungulia ' hovyo Meseji zao na Wapenzi Wao au kama kutaka ' Kuwakomoa ' vile.
Akhsanteni Rwanda
Mungu ibariki Rwanda
Mwenyezi Mungu mbariki GENTAMYCINE ANTIBIOUTIQUE
Nawasilisha.
Kwa wale watakaotaka Kusoma zaidi hasa juu ya hilo ' Kongamano ' Kubwa linaloandaliwa na Rwanda na litakalofanyika Mwezi ujao nendeni moja kwa moja katika Mtandao wa Habari wa CNBC Africa tafadhali.