Sasa ndio nimeamini Chama cha ACT ni mpini wa kudhoofisha upinzani.
Chadema imekuwa ikijijenga siku hadi siku na mpaka sasa inaendelea kupokea viongozi mbalimbali kutoka Chama Cha Mapinduzi (CCM).
Kibaya zaidi, wakati wakijenga chama, ACT wanabomoa.
ACT nayo inajenga unataka ijibomoe?
Ijijenge kwa kubomoa palipozeeka na sio kujenga kwa kubomoa walipopajenga jana wao wenyewe.
Sasa ndio nimeamini Chama cha ACT ni mpini wa kudhoofisha upinzani.
Chadema imekuwa ikijijenga siku hadi siku na mpaka sasa inaendelea kupokea viongozi mbalimbali kutoka Chama Cha Mapinduzi (CCM).
Kibaya zaidi, wakati wakijenga chama, ACT wanabomoa.
Inaonyesha bado ni shabiki na ni mchambuzi.
ACT wanazngua haoooo
ACT nayo inajenga unataka ijibomoe?
Wasaliti wakubwa wa siasa za upinzani nchini tanzania
Inajenga ukabila tu
nadhani hapo ACT wapo sawa watu wenye ulembukeni ni hao wanao shawishika na kuhama chama walichokijenga muda mrefu na kukimbilia chama kipya kwa ahadi za kupata vyeo
Wenzao Chadema wanapambana kuibomoa CCM ACT inapambana kuibomoa chadema. Eti nao wanataka tuwaite wapinzani. Ingawa wanaowapata mmhh viti maalum. mmmh.
uriiwamba polepole watanzania wanazidi kuwafahamu. Haiwezekani moto wa mabadiliko unawake nchini kote nyie mpo busy kuuzima. Lazima mtapata adhabu yenu mda si mrefu. Mnatusikitisha sana tunaopenda kuona CCM inaondoka madarakani!