Wakati CHADEMA wakizidi kuimarika, wapi Wassira, wapi Slaa?


CDM ni kweli inaimarika......inaimarika kwa kupoteza msingi mkuu wa chama hicho.....inaimarika kwa kushindwa kuwa tumaini la vijana waliokuwa na imani kama chama cha wanyonge, inaimarika kwa kuzidi kukumbatia matajiri, inaimarika kwa kuzidi kutegemea viongozi toka ccm waje kushika nafasi kuu za kiuongozi nchini, inaimarika kwa unafiki na undumilakuwili wa wazi wazi.....
 
Slaa yupo Marekani anaishi kwenye Nyumba ambayo alinunuliwa na Benard Membe kwa kutumia yale Mamilion ya Gadafi, Slaa anakula pesa alizopewa na ccm na maadui wengine wa Lowasa zikiisha atarejea Nchini.
Asante sana mkuu kwa kuonyesha unaelewa
 
Ni uliganifu wa ajabu na wa kijuha unapolinganisha taasisi na watu binafsi, nyumbu ni nyumbu tu! Chadema na viongozi wake wamekufa kisiasa ili CCM ipo imara zaidi.
 
chadema walishinda majimbo mengi lakini wakachakachuliwa pengine haki ingetengeka tungekuwa tunaongea mengine leo hii.
 
Wewe ulitaka iendelee kuwa na mbunge mmoja kama taa ya treni kama saccos yenu ya mwandiga?
 
Ni uliganifu wa ajabu na wa kijuha unapolinganisha taasisi na watu binafsi, nyumbu ni nyumbu tu! Chadema na viongozi wake wamekufa kisiasa ili CCM ipo imara zaidi.
Ebu twambie taasisi ni ipi na watu binafsi ni wapi?
 
N
Ni uliganifu wa ajabu na wa kijuha unapolinganisha taasisi na watu binafsi, nyumbu ni nyumbu tu! Chadema na viongozi wake wamekufa kisiasa ili CCM ipo imara zaidi.
Nyumbu ni ccm na haipo imara sasa kwani hawaaminiani kila mmoja anaisoma Namba kwa njia mbalimbali wamejaa Hofu kubwa kutokana na majipu waliyoyakalia, Chadema sasa ndiyo kwanza inainarika zaidi na zaidi.
 
Dr Slaa ni mfanyakazi wa Membe kwani ndiyo anamhudumia kwa kila kitu mpaka sana anamlisha anamlea anamgharamia kila kitu baada ya kumnunulia Nyumba kwa kutumia Mabilion ya Marehemu Gadafi.
 
Dr Slaa ni mfanyakazi wa Membe kwani ndiyo anamhudumia kwa kila kitu mpaka sana anamlisha anamlea anamgharamia kila kitu baada ya kumnunulia Nyumba kwa kutumia Mabilion ya Marehemu Gadafi.
Huyu mzee kaamua kujishushia heshima na kujidhalilisha kwa kuwa mtumwa wa fedha
 
Dr Slaa anawachuna ile mbaya inabidi wamhudumia kwa kila kitu mpaka anazeeka na kuwa kikongwe asiye na Meno,Walimlubuni ili awasaidie kumhujumu Lowasa lakini sasa amekuwa Mzigo kwao inabidi ccm na Membe waingie Gharama kumhudumia japo na Mwakyembe na yeye anampitia posho kidogo kidogo, mwenzake Lipumba yeye kamaliza pesa zake kwa michepuko kaamua kurejea CUF kinyemela yupo busy kujikomba komba angalau Seif akipewa Nchi amkumbuke.
 
Mzee wa G hatimaye kafutika kwenye sura ya nchi, lakini alikuwa na life expectancy ndefu sana! jamani tangu awamu ya kwanza YUPO! Awamu ya pili YUPO!! Awamu ya 3 TUPO!!! Awamu ya 4 YUPOOOO!!!! Tija ZERO; kejeli, porojo tu na mipasho tu! aargh! That was too much!
 
Taasisi inayokuwa, miezi mitano sasa haina katibu wa chama kinyume na katiba?
 
 
Katolewa nishai na mtoto mdogo binti bulaya hoiiiiiiiiii
 
Reactions: MTK
Napenda vile Mungu anavyoendelea kuipigania chadema. Baada ya mikwara mbuzi ya magufuli kuanza na ziara za kuuza sura kwenye media, watu walisema CDM sasa haina hoja tena ya kuongea na inakufa. Baada ya watu kusanuka na maigizo ya CCM, watu wamewadharau maradufu! Walisema chadema itakufa lakini mpaka leo hakuna hata mwanachama mmoja amehama, sana sana wameongezeka!!! Tunaenda kuchukua nchi, safari hii hawawezi kuzuia nguvu ya umma.
 
Slaa ni zaidi ya msaliti kukubali kuhujumu cdm katikati ya kampeini ni hatari sans
 
Uongozi wa Zanzibar umeenda wapi? Labda chadema ndio haina viongozi kule
Tunavyo elewa uchaguzi wa rais ulikuwa 2015 lkn mmeg'ang'ania ikulu hata baada ya wananchi kuwakataa kuwa hamfai
 
Mkuu,,unaroho ngumu sana! Kumponda Slaa kunahitaji uwe huna akili! Una roho ngumu sana kwakweli sijui kama.
Dr Slaa hana lolote kwani watu waliotumika kumlubuni ni Vijana wadogo tu na walipiga pesa kupitia Udalali huo, wakati harakati za kuikoroga Chadema zinaanza Membe alipanga mbinu zake binafsi na ccm walipanga zao, Ndipo Makonda,Nape na Jack Gotham wakawa madalali pesa yote ya kumpelekea Slaa ilipitia kwao wakaipiga panga na kumpatia Slaa dola million 2 tu zingine wakagawana huku Mwakyembe yeye akivuta zake toka kwingine na yeye kujipa jukumu la kumfundisha jinsi ya kumhukumu Lowasa, Dr Slaa si mjanja kama unavyofikiria bali na yeye ana njaa sana ndiyo maana alikamatwa akili kirahisi na madalali wa Siasa akina Makonda na wenzao.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…