Vema ukasema yuko wapi sasa kwenye ramani ya siasa kwakuwa wengi walimjua kupitia hukoMkuu,,unaroho ngumu sana! Kumponda Slaa kunahitaji uwe huna akili! Una roho ngumu sana kwakweli sijui kama.
Hii propaganda ilishindwaChagalism inaendelea
Nackia kuna binti was cdm aliiba kura za mzee wetu. Ndiyo maana amefungua pingamizi mahakamani kudai "haki" yake.Wakati wa miaka ya 2012 nilikatishwa tamaa na waziri wasira aliposema kuwa cdm itakufa kabla ya 2014,niliogopa na kujutia uamuzi wangu wa kuwa mwanachama wa cdm lkn ilipo fika 2015 baada ya uchaguzi mkuu yule aliye itabilia kifo cdm kumbe ndiyo akaondolewa kwenye dunia ya siasa na vijana wa cdm,na slaa alipohama cdm alisema anaamini ataondoka na vijana wake na wapiga kura woote wa cdm,sasa slaa hasikiki na cdm inazidi kuchanua,kweli mungu siyo Athumani
Ni kweli kwa yeyeyote mwenye taarifa naye atujulishe ili angalau tujue mzee wetu yuko wapi ikiwezekana tumwalike siku moja aje aone maendeleo yetuVema ukasema yuko wapi sasa kwenye ramani ya siasa kwakuwa wengi walimjua kupitia huko
Ukiona hivyo ujue huko ndio kukomaa naibu katibu mkuu anajua nini anapaswa kufanya ndio maana cdm wame double ushindi wa wabunge kulinganisha na wale wa 2010Chama hakina katibu mwezi wa nne sasa unasema kinaimarika?kweli nyumbu mmezidiwa na mahaba
Twambie wewe ni kiongozi gani wa cdm ambaye halipi kodi tumjue hapa hapaVijana wengi wa CHADEMA wana shida hii ya kuelewa kuhusu 'umdhaniaye ndiye mara nyingi huwa siye...na umdhaniaye siye huwa ndiye',they're very slow to learn anything, Laiti wangejua kwamba mazingira ya siasa za Kiafrika kiongozi wa chama kikuu cha upinzani akiwa pia mfanyabiashara anakuwa ktk uwezekano mkubwa wa kutumika na serikali ya chama cha tawala kwasababu kubwa mbili🙁1) mfanyabiashara anaweza kuzigeuza siasa kuwa jukwaa lingine la kimapato(2)mfanyabiashara anapenda kupata faida kubwa kubwa,faida kubwa wanazozipata mara nyingi hutokana na fouls wanazozicheza kama vile kutolipa kodi, kufanya biashara nyingine zisizo halali.Mara nyingi utakuta serikali wanafahamu mambo yote haya hivyo yanayofanywa na viongozi hawa wa vyama vya upinzani ambao ni wafanyabiashara lkn utakuta hawawachukulii hatua za kisheria kwakuwa wanatoa ushirikiano kwa chama tawala.Je,Wana CHADEMA mliwahi kujiuliza kuhusu hilo?mnakimbilia kumwita Dr Slaa msaliti,itakuwaje siku mkijua kuwa kumbe mnayemwita shujaa wa CHADEMA ndiye msaliti mkubwa dhidi ya harakati za kuiondoa CCM madarakani?itakuwaje siku mkija kujua kuwa ujio wa Lowassa upinzani ulikuwa sehemu ya mkakati wa chama tawala kuvihujumu vyama vya upinzani na kujihakikishia kurudi madarakani?just thinking!
Kwa maana yako hapo msaliti ni yupi mkuu plsMsaliti siku zote huwa anatabia ya kuaminika sana na baadhi ya wajinga wengi wasioona dhamira yake ovu.
Indicator ya kumjua msaliti pamoja na kuaminika saaaana, huwa hadumu mda mrefu anatoweka.
Mifano unaijua. Kwahiyo ukiwa unashabikia huku unajua huyo unayemshabikia ni msaliti, kumbuka kwenye kichwa chako kuwa huyo unayemshabikia tayari hana nguvu ya ushawishi tena kwasababu yeye mwenyewe anajua madudu aliyoyafanya na hawezi kuendelea kujitutumua. Huo ndio mwisho wake. Atabaki kuwa na nguvu kwenye kijiji chake au kata yake au mkoa wake tu the rest ni wale wa kulipwa ili wamwandamie.
Hivi huoni hata aibu!? Katika majimbo 265 kote nchini, mna wabunge 36 tu...pamoja na kuunganisha nguvu ya vyama pinzani na kuachiana majimbo...Na bado mnajiona mmefanya vizuri!? Kuwa mkweli katika nafsi yako tu...Huna sababu ya ku-reply hii comment.Ukiona hivyo ujue huko ndio kukomaa naibu katibu mkuu anajua nini anapaswa kufanya ndio maana cdm wame double ushindi wa wabunge kulinganisha na wale wa 2010
Slaa yupo Marekani anaishi kwenye Nyumba ambayo alinunuliwa na Benard Membe kwa kutumia yale Mamilion ya Gadafi, Slaa anakula pesa alizopewa na ccm na maadui wengine wa Lowasa zikiisha atarejea Nchini.Ni kweli kwa yeyeyote mwenye taarifa naye atujulishe ili angalau tujue mzee wetu yuko wapi ikiwezekana tumwalike siku moja aje aone maendeleo yetu