PreGE2025 Wakati Afrika Kusini wako busy kutengeneza dawa ya UKIMWI, DC wa Kigoma anahangaika kufanya usafi sokoni

PreGE2025 Wakati Afrika Kusini wako busy kutengeneza dawa ya UKIMWI, DC wa Kigoma anahangaika kufanya usafi sokoni

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla)

Mindyou

JF-Expert Member
Joined
Sep 2, 2024
Posts
2,439
Reaction score
6,692
Huyu alishindwa kabisa kufanya majukumu yake bila kupiga picha na kupost Instagram?

Yaani wakati serikali ya Afrika Kusini inahangaika kutafuta dawa ya UKIMWI na Marekani inahangaika kwenda space, viongozi wa CCM wako busy kuzoa takataka

=============

Mkuu wa Wilaya ya Kigoma Dkt. Rashid Chuachua ameshiriki na wananchi kufanya usafi katika soko la Buzebazeba Manispaa ya Kigoma Ujiji leo Jumamosi ya Machi 29, 2025.

Snapins.ai_486539960_1191502739276063_7396712076891486432_n_1080.jpg




Snapins.ai_487287986_1584864048893463_6737123443138586052_n_1080.jpg


Snapins.ai_487055120_9928603177152183_5011462107714184521_n_1080.jpg
 
Kweli Huyo Chua Chuo Yaani Anakula Migebuka Na Kuhe Analala
 
Wananchi tulishavikataa kitambo hivi vyeo vya Wakuu wa Wilaya, Wakuu wa Mikoa, nk. Hawa jamaa wanakula tu kodi zetu.
 
  • Thanks
Reactions: vnn
Back
Top Bottom