Benjamini Netanyahu
JF-Expert Member
- Aug 7, 2014
- 82,615
- 96,062
Haya
Hahahahhaaaaa au kumuita kwa ishara harafu akikaribia unamuonyesha ishara ya kurudi!!! Yaani full upuuziKummulika mtu na taausoni wakati amepumzika anasubiri Cage atoke surface alfajiri.
Taelezea part II ndugu kuwa nasubiraMnajisaidia wap huko ndan?
HahahaaaHahahahhaaaaa au kumuita kwa ishara harafu akikaribia unamuonyesha ishara ya kurudi!!! Yaani full upuuzi
Nafikiria kuitupia leo, sijui niiunganishe tu hapa au nianzishe nyingine?Hyo pati tuu lini mkuu ngwapanagi
Unganisha hapa hapa mbaba,Nafikiria kuitupia leo, sijui niiunganishe tu hapa au nianzishe nyingine?
Kumbuka hii ni jf pahala pekee ambapo kila kitu huzungumzwa bayanaUnawaharibia wenzio watakaokuja baadae. Vitu vingine havipaswi kutolewa nje ya maeneo husika.
Unga humu usisahau kunitagNafikiria kuitupia leo, sijui niiunganishe tu hapa au nianzishe nyingine?
Hiyo migodi akishapewa mchina ndipo akili itatukaa sawa. Maana technolojia ya mchina kwenye migodi kama hiyo anaijua mwenyeweSURFACE/JUU KABLA YA KUZAMA SHIMONI
Unawahi kazini maana hesabu zako zinalipwa kwa masaa baada ya kugogesha kitambulisho chako getini. Unaingia kwenye vyumba vya kubadirishia nguo, Unatagi kitambulisho chako juu kwa ajili ya kutambuliwa wakati wa kulipua Chini ya ardhi, unachukua jagi la maji, unavaa nguo za kazi na vifaa vya kujiokoa mwenyewe then unaenda kuchukua chakula (kiloba). Unapewa kadi ya kusaini kuelewa sheria za kazini na sehemu utakayoenda kufanyia kazi pia aina ya mashine.
KWENYE CAGE/LIFT
Hapa ndipo mnakutana wote kusubiri kusafiri kwa winch inayotumia umeme. Story za hapa ndipo utafahamu akili za ma miner zilivyo. Mkiwa hapa ndipo utasikia mtu anajisifu kutembea na mademu na off days aliifanyia nini. Kwa kifupi maneno pointless utakutana nayo hapa.
NDANI YA CAGE
Hapa ndipo utavunjika mbavu kwa matani ya kila namna. Kwa kifupi hata ukiwa na umri wa waziri mkuu inabidi uazime akili za kijana wa kidato cha pili.
NB: Akili za ma miner zinafanana huenda ni nature ya kazi (kufanya kazi chini ya ardhini).
ENEO LA KAZI
Hapa kuna makundi mawili, kundi la kwanza ni lile la MAKAZI KUNOGA /wapenda sifa kwa mabossi na wachapa kazi hawa wakifika eneo la kazi ni kazi kazi kweli
Kundi la pili ni WAZUGAJI hili kundi ndilo nilikuwemo mimi, kuna siku tukiamua kazi ni kazi kweli na tukiamua kuzuga ni kuzuga kweli. Unazugaje na wakati uko kwenye mashine za mzungu!? Jibu hili hapa, tulikuwa tukifika eneo la kazi jambo la kwanza ni kuharibu mashine harafu baada ya lisaa limoja tunatoa taarifa kwa kupiga simu zilizoko Chini huko shimoni, mafundi hadi wafike na kugundua tatizo tayari tutakuwa tumepumzika vya kutosha
USHAWAHI KUJIULIZA WAFANYAKAZI MAMIA KWA MAMIA SHIMONI WANAJISAIDIA WAPI na AJALI ZIPI NI COMMON UNDERGROUND!? NI WAPI UTAKIMBILIA ENDAPO KUNA HALI YA HATALI SHIMONI, JE UKITOKA SHIMON NI MASHARTI YAPI UYAFANYE NA VITUKO VYA KUIBIANA SABUNI NA MAFUTA KWENYE MAROKA Usikose part II
Hiki kichuguu ulinganishe na mgodi wa Kimataifa wa Bulyanhulu!!?
Wazo njema kabisa mkuu maana huwa nafikiria katika dunia hii hakuna kazi inayohitaji ujasiri, umakini na kujitoa mhanga kama kuwa miner hasa chini ya ardhiMkuu inabidi miner tuwe na Uzi wetu wa kubadirishana uzoefu na mambo mengine, mkuu part 2 usisahau Kuni tag