Wakakamavu wa cuf

Utingo

JF-Expert Member
Joined
Dec 15, 2009
Posts
10,265
Reaction score
8,094
[h=5]askari wa dola huru ya znz wakitoa sallam kwa Rais Mtarajiwa wa znz.......2015[/h].......................
 
Jamani we mtoto, loh, kisa gani na mbavu zangu?!!!

Waliberali wanaweza kuwa na wakakamavu? Hayo ni maandalizi ya sherehe za MWAKAKOGE
 
Jamani we mtoto, loh, kisa gani na mbavu zangu?!!!

Waliberali wanaweza kuwa na wakakamavu? Hayo ni maandalizi ya sherehe za MWAKAKOGE

si unawaona mwenyewe....mimi mwenyewe nimecheka mno
 
Kuna watu wanavituko chini ya hili jua he he he hao ndio wakakamavu?
 
Hapa kuna mkakamavu kweli hapa......angalia mdebwedo!

 
Ingekuwa Chadema hapo...halafu hiyo 'shoo' imefanyikia Arusha au Moshi! Pasingelalika hii nchi!

Cha ajabu Jeshi lote la Police lingehamishiwa Arusha kudhibiti hii midebwedo...LoL!!
 
Wanafanya nini hao? mbona hawawezi simamia mguu mmoja?
 
Wakakamavu wa kiduku ama..!!!?? kweli Waliberali wana vituko aisee..!!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…