Mi mzma nashukuruLoldiva umeshindaje
MissNi sawa kipind hichi cha maisha wanaume nao wana ile tabia ya kutaka mwanamke ambaye kimsingi nae ni mchakarikaji ili msaidie ilo ni sawa, ila mambo kama yamebadilika wanaume wamekua wavivu wakitak wapate kwa wanawake.. asa kweny kutafuta wenza kama huku akion umesem una ajira huyoo fastaaa akat anajijua yeye hata hajishughulishi maan kutokua na ajira sio kigezo cha kutojishughulisha wanaume.. kiuongo ili umkubal atajifanya ana mikakati mingi ya maisha afu unashangaa akija kwako tu kuonana anakaa mwez unaanza kupata maswali hiyo miradi huko anaangalia nan ha ha haa kumbe ndo alivyojiwekea awe anaishi na mwanamke amlishe kila kitu yeye akae tuu.
Haki sawa haijakataliwa coz wanawake siku hizii karibu wotee tunapambana shida kwa kina mario.
Sawa mwandishi mahirii.Miss
Amani iwe nyumbani mwako
Umeandika jambo la msingi na la muhimu lakini unatakiwa kuimarisha stadi zako za uandishi ili uweze kuwa unaandika vitu vyenye kuleta mtiririko mzuri wakati wa kusoma.
Amani iwe nawe.
Asalaam Aleikhum
Sina hela ya kukuwekea mafuta kapremio chako ndo shida so kajisugue mwenyew tuu hakuna namna ha ha haaa.WEEK END NJEMA , MTOA MADA .... LEO JUMA2 INAFAA SANA KUPATA KA JAMAA KA KUKUGUSA , KUNAKO , NICHEKI INBOX NOW NA DRIVE premio kangu kuelekea SOUTH BEACH , so kama hukinijali ni cheki nikufuate ulipo maana USAFIRI NI UHAKIKA .
Nimeolewa jaman ha ha haa story za kitambo![]()
Mume HIV+ anahitajika
😂 😂 😂 😂 😂 ingia tu, wewe mwenyewe mme wa mtu Duhwww.jamiiforums.com
ndio umempata mariooo ?
hongeraNimeolewa jaman ha ha haa story za kitambo
watu tupo very opportunistic.Ni sawa kipind hichi cha maisha wanaume nao wana ile tabia ya kutaka mwanamke ambaye kimsingi nae ni mchakarikaji ili msaidie ilo ni sawa, ila mambo kama yamebadilika wanaume wamekua wavivu wakitak wapate kwa wanawake.. asa kweny kutafuta wenza kama huku akion umesem una ajira huyoo fastaaa akat anajijua yeye hata hajishughulishi maan kutokua na ajira sio kigezo cha kutojishughulisha wanaume.. kiuongo ili umkubal atajifanya ana mikakati mingi ya maisha afu unashangaa akija kwako tu kuonana anakaa mwez unaanza kupata maswali hiyo miradi huko anaangalia nan ha ha haa kumbe ndo alivyojiwekea awe anaishi na mwanamke amlishe kila kitu yeye akae tuu.
50/50 mnaikana sio;wanaharakati wa Beijing wako wapi. Hao mario wanasimamia kucha show,hawana stress. Wakishiba wali maharage,ni ushuzii tu.
Ha ha ha haaa.watu tupo very opportunistic.