Anaweza kusign out tokea kwenye browser yake, alogin to iclooud aende kwenye list ya device achague iphone yako kisha asign out.
Kuhusu mp3 tafuta program inaitwa documents ipo app store developer ni readdle. Ina built in browser, file manager na download manager, kupitia hii app ingia browser (last time ilikuwa chini kulia) kisha download mp3 husika, itadownloadika humo humo ndani halafu kuna option ya kuhamisha kwenda kwenye main folder ili itambulike system wide na uione kwenye music player.
Maelezo zaidi hapa
Readdle is a pioneer of iOS App Store, one of the first companies to create file management and scanning apps on the App Store. Our main goal is to help you, boost your productivity and give you the ability to use tools that haven’t been available on mobile devices before. Scan documents, sign...
Pia mkuu jifundishe kuweka Altstore ni store nyengine yenye apps ambazo Apple haziruhusu kwenye store yake, utapata apps ambazo zinakupa uhuru zaidi.
Thanx mkuu hatimaye nimefanikisha zoezi jamaa ame sign out na nimeweka icloud yangu sasa
So far App ya Documents ndio app yangu mama kwanye hiki kimeo changu pendwa
Nadownload na kusikilizia muziki yangu hapo hapo, ingawaje player yake sio pro kufanya playlist, inabidi nitengeneze folder mbali mbali na kuwa kama playlist zangu
Nadownload movies natumia xender kuhamishia kwenye galaxy yangu kisha kwenye memory card kisha naangalia kwenye tv
Bado sijapata music player decent, nimeweka vlc ambayo sio mbaya unaweza kuhamisha mp3 ulizodownload kwenye documents na kuzipeleka vlc, vlc wako vizuri kwenye movies
Documents inafungua RAR na ziped files, inafungua PDF files, ina VPN, inafungua epub book, ina play music/video, ina browser with downloader na ni file manager
Hii iphone 8 bado ipo ios 13.5.1 naona review nyingi wanasema ukiupdate kwenda ios 14 inakua inakula sana chaji, bado sijaamua
Ila haka kakimeo bana yaani kanajaa chaji chini ya lisaa limoja na kanajitahidi kukaa na chaji ila sio kama li backup phone langu galaxy tab a 2016, linachelewa kujaa ila linakaa sana na chaji
Kingine nime miss sana kusikiliza miziki nikiwa safarini na earphone
Hii haina tundu, na wireless earphone zake sina na bei imesimama
Mwisho App za ios zina mb nyingi sana na ukiangalia specifications za iphone unaona kama ndogo vile
Mfano RAM na MP za kamera lakini kwenye ufanisi aisee simu ipo very smooth hakuna kukwama kwama hata ufungue app zote
Kwenye kamera nako sio mchezo kulinganisha na MP kibao ya kwenye android