Wajumbe wakati wa kuvuna ndio sasa

Wajumbe wakati wa kuvuna ndio sasa

Valencia_UPV

JF-Expert Member
Joined
Mar 31, 2016
Posts
7,682
Reaction score
9,529
Nitashangaa kama kuna Mjumbe atalia njaa baada ya hili zoezi. Nakumbuka 2020 KAWE ilikua ni mwendo wa Miamala kupitia simu za Wajumbe (hapo Wagombea wanakua na namba za simu za Wajumbe wote. Pesa inarushwa kupitia Wakala wa simu kwa kuzidiana Dau).
 
FB_IMG_1749139137988.jpg
 
Dah kuna Jimbo fulani hivi, Naona mgombea tayari amesha weka mezani BILLION MOJA 🙂🙂., Mgombea mwingine naye ameweka ngomb'e 200.
 
Nitashangaa kama kuna Mjumbe atalia njaa baada ya hili zoezi. Nakumbuka 2020 KAWE ilikua ni mwendo wa Miamala kupitia simu za Wajumbe (hapo Wagombea wanakua na namba za simu za Wajumbe wote. Pesa inarushwa kupitia Wakala wa simu kwa kuzidiana Dau).
Unachochea kabisa rushwa?

Keeli huko CCM mmejaa maiti

Ndo mana Watanzania tunasema No Reforms No Election
 
Takrima. Mjumbe nae ana bills za kulipa
Bills ndo upewe na Mgombea?

Namshukuru Mungu anazidi kuwafungua Watanzania akili. Huu ushenzi wenu ndo mnalinajisi hili Taifa hadi halipati maendeleo ya kweli.

No Reform No Election
 
Yale ya zamani mpunga sio mwingi, haya majimbo mapya ndio kuna pesa.

Kama ni mjumbe mwenye degree ya unafki utaondoka na kibunda aisee.
 
Back
Top Bottom