Wajumbe Bodi zote 50% Wanawake

Mfumo dume una uhusiano mkubwa sana na ufisadi. Fuatilia ya Kenya, Tanzania na Nigeria. Tusipate woga wala hofu kuwashirikisha wanawake madaraka makubwa.
Sasa Mfumo Dume unashida gani? Mfumo huu ni muhimu sana, fikiria viungo vinavyo tengeneza mfumo huu, kama Kende na Uume vilivyo muhimu katika mwili wa mwanadamu. Msidharau mfumo huu jamani!!
 
It has nothing to do with my name !but in a way I have to agree with u that mine was a pointless observation, was acting fool ! idiot of me! I am real sorry and apologizing!
 
Michelle I am real sorry and I am taking back my comment, regrettable I was trying to amusing myself not serious with the comment ,wanted to have fun I didn't mean it ,that is not me,the picture u see is not my true color I am a caring husband and a father to a beautiful daughter and have no problem with gender issues!nisamehewe tu na niombee msmaha kwa Ambiente Guru na kila aliyekwazwa na comment yangu .nitaomab radhi hata mara elfu kama mtu hato comment msamaha kwangu !please!
 
Dah, kweli wewe ni Muungwana, kwa kuomba radhi umedhihirisha uungwana wako!!
 

Nimefurahi kusikia wewe ni mume na baba mzuri kwa binti yako. Yamepita hayo mengine Ali.

Ambiente Guru atakuwa ameelewa kabisa.
 

Hivi Blandina Nyoni, Hawa Ghasia, Sophia Simba, Anna Abdallah, Miss Tanzania Sinare, Salma Kikwete, Anna Mkapa hao wote ni wanaume?
Mbona wote sijaona wakisaidia kitu zaidi ya kupiga dili tu! Acha propaganda za Jinsia hapa. Uadilifu au ufisadi hauna jinsia. Ni mtu na hulka yake!
 
Nimefurahi kusikia wewe ni mume na baba mzuri kwa binti yako. Yamepita hayo mengine Ali.

Ambiente Guru atakuwa ameelewa kabisa.
Thanks for ur understanding !now I can have my lunch with a piece of mind! thanking you again and have a good day!
 
wanawake wakiamua kuchapa kazi wana chapa kazi ila wakidanganywa na kushawishika wana weza kuharibu kazi ishu ni mikataba ya wafanyakazi irudiwe upya na kurekebishwa. iwe inafocus watz kufanyakaz na sio kulala tu.
 
Thanks for ur understanding !now I can have my lunch with a piece of mind! thanking you again and have a good day!
Cheers Michelle and Ally.Lets defend the truth and the only truth. wmen have special place in our society. Kuna wadada walikuwa wananizidi maksi darasani.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…