Wajue wanawake wasiojitambua

Aisee 👊👊👊
 
Kutaka mwanaume mwenye gar wakat hata vitanda hawana ni kwa sababu wanaume wapumbavu wanaoa warembo na sio wake.matirio, ndomana wakijijua warembo wamesoma wanaamua tu kuwinda wenye magar na kaz nzur na wanawapata sana, mwisho mnaishia kupata watoto kina preshaz na prince wasio na adabu mana mama zao wako ni viaz.
 
Nasikia kelele huku , VIP kuna MTU kaumia ?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Jiwe gizani


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Na wanaume wasiojielewa wapoje ?
 
......kama ni hivo bas nusu ya robo ya wanawake wa jf hawajitambui........nishapita nao weng hawajitambui.......nitaweka orodha yao..........
 
Acha generalization za kijinga eti umepita nao nusu na robo . humu ndani kuna baadhi ya watu wachache wanapenda kusakama wanawake as if hawana shughuli ya kufanya.
......kama ni hivo bas nusu ya robo ya wanawake wa jf hawajitambui........nishapita nao weng hawajitambui.......nitaweka orodha yao..........

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…