Wajue wanaume walaghai na vijitabia vyao

Wajue wanaume walaghai na vijitabia vyao

huwa najiuliza kwanini wanakubali kudanganywa huku wakijua kabisa tungo tunazowapa ni za uongo??

wanakuwa wanakutaka, kwa hiyo wakikubishia hawatakupata, ndio maana mimi na wewe tunaweza tukatumia uongo mmoja kwa demu mmoja, mimi nikatolewa mbio na wewe ukapata.
 
mbona hujaweka za wasichana???

Atakwambia wewe ni boyfriend wake wa pili, wa kwanza ni yule aliyeitoa bikra kwa sababu hujaikuta, na walifanya mara moja tu. Ingekuwa issue ya bikra hakuna ungeambiwa wewe ni wa kwanza.
 
Phone sex? Hell No!! I want the real deal. Kitu gani touch your ass sijui touch your hair.
 
Back
Top Bottom