Wajue wanaume walaghai na vijitabia vyao

Wajue wanaume walaghai na vijitabia vyao

englibertm

JF-Expert Member
Joined
May 1, 2009
Posts
9,252
Reaction score
6,209
1. Hujifanya yupo tayari kukfanyia lolote hata liwe nje ya uwezo. Hapo b4 hujampa mwili wako.
2. Mwanzoni mkiwa mnawasiliana anajidai hapend ngono na hana haraka nayo.

3. Bingwa wa kukutambulisha kwa rafiki zake. Hao ameshawambia mapema kuhusu wewe hvyo watamfichia siri.

4. Bingwa wa kuzisifia sehemu zako nyeti mfano. Una kifua kizuri, upo sexy baby.

5. Mkizoeana kdogo anaanza mtindo wa 'phone sex' . Hii huwa inawapagawisha kweli wasichana.

6. Asubuh na mapema ana2ma vocha. Ukishamvulia chu* sahau kuhusu hzo ofa.

7. Anajidai mkweli anakwambia kila ki2 hata kama hujamuuliza.

8. Hawakawii kujitangaza eti wametakwa kimapenzi na msichana flani. 'ah! Bby kile kisichana kinanitaka mi ctaki'

9. Kila unalosema anafanya. Ukitaka aje anakuja, ukitaka vocha unapata. Unaweza kudhani ----- kumbe anakulia time uingie mtegoni afyatue.

10. Wana ahadi tamu zisizotekelezeka. Hawachelewi kujidai wapo tayari kufa kwa ajili yako.

11. Ni mahiri katka kuwasema wenzao kuwa wana tabia mbaya. Wao wanajidai wasafi.

12. Mara nying wanafunga cm zao kwa pasword. Hufungui kizembezembe!
 
hapo umegonga ikulu mkuu!!!hizo ndizo tactics zetu lol!!!sasa bibie utamwamini yupi ili uumpe kitumbua?kutabiri future ni ngumu
 
Mtu kama huyu anaejidai tayari kutoa chochote anza kuomba vikubwa vocha unajishusha sanaaaa anza na gari kama hatokimbia unachukua gari kwa jina lako baada ya muda unauza asije akaja kulichukua mwisho wa siku..
 
Mtu kama huyu anaejidai tayari kutoa chochote anza kuomba vikubwa vocha unajishusha sanaaaa anza na gari kama hatokimbia unachukua gari kwa jina lako baada ya muda unauza asije akaja kulichukua mwisho wa siku..

atakimbia huyo!
 
Sifa Zote ninazo but Mimi si kicheche kabisa


1. Hujifanya yupo tayari kukfanyia lolote hata liwe nje ya uwezo. Hapo b4 hujampa mwili wako.
2. Mwanzoni mkiwa mnawasiliana anajidai hapend ngono na hana haraka nayo.

3. Bingwa wa kukutambulisha kwa rafiki zake. Hao ameshawambia mapema kuhusu wewe hvyo watamfichia siri.

4. Bingwa wa kuzisifia sehemu zako nyeti mfano. Una kifua kizuri, upo sexy baby.

5. Mkizoeana kdogo anaanza mtindo wa 'phone sex' . Hii huwa inawapagawisha kweli wasichana.

6. Asubuh na mapema ana2ma vocha. Ukishamvulia chu* sahau kuhusu hzo ofa.

7. Anajidai mkweli anakwambia kila ki2 hata kama hujamuuliza.

8. Hawakawii kujitangaza eti wametakwa kimapenzi na msichana flani. 'ah! Bby kile kisichana kinanitaka mi ctaki'

9. Kila unalosema anafanya. Ukitaka aje anakuja, ukitaka vocha unapata. Unaweza kudhani ----- kumbe anakulia time uingie mtegoni afyatue.

10. Wana ahadi tamu zisizotekelezeka. Hawachelewi kujidai wapo tayari kufa kwa ajili yako.

11. Ni mahiri katka kuwasema wenzao kuwa wana tabia mbaya. Wao wanajidai wasafi.

12. Mara nying wanafunga cm zao kwa pasword. Hufungui kizembezembe!



Sent from my BlackBerry using JamiiForums
 
Hapa kazi kweli kweli haya lisemwalo lipo kama halipo linakuja
 
1. Hujifanya yupo tayari kukfanyia lolote hata liwe nje ya uwezo. Hapo b4 hujampa mwili wako.
2. Mwanzoni mkiwa mnawasiliana anajidai hapend ngono na hana haraka nayo.

3. Bingwa wa kukutambulisha kwa rafiki zake. Hao ameshawambia mapema kuhusu wewe hvyo watamfichia siri.

4. Bingwa wa kuzisifia sehemu zako nyeti mfano. Una kifua kizuri, upo sexy baby.

5. Mkizoeana kdogo anaanza mtindo wa 'phone sex' . Hii huwa inawapagawisha kweli wasichana.

6. Asubuh na mapema ana2ma vocha. Ukishamvulia chu* sahau kuhusu hzo ofa.

7. Anajidai mkweli anakwambia kila ki2 hata kama hujamuuliza.

8. Hawakawii kujitangaza eti wametakwa kimapenzi na msichana flani. 'ah! Bby kile kisichana kinanitaka mi ctaki'

9. Kila unalosema anafanya. Ukitaka aje anakuja, ukitaka vocha unapata. Unaweza kudhani ----- kumbe anakulia time uingie mtegoni afyatue.

10. Wana ahadi tamu zisizotekelezeka. Hawachelewi kujidai wapo tayari kufa kwa ajili yako.

11. Ni mahiri katka kuwasema wenzao kuwa wana tabia mbaya. Wao wanajidai wasafi.

12. Mara nying wanafunga cm zao kwa pasword. Hufungui kizembezembe!


... Asante mkuu' nilikuwa sijui huu utaalam! Sasa hivi ninaanza kuufanyia kazi, na kutumia hizi technics
 
Back
Top Bottom