Walikuwa wanafungwa minyonyoro na kuuzwa kama watumwa huko BAGAMOYOHii miaka ya 1940 hawa majasusi wetu wa kitanganyika walikuwa wapi?
Muone huyu hapaSIJAMWONA CARL PETERS
Duh.Walikuwa wanafungwa minyonyoro na kuuzwa kama watumwa huko BAGAMOYO
Umemisahau Jasusi mmoja Bora kabisa kuwahi kutokea, si mwingine ni Eli Cohen, Myahudi, aliyefanya kazi na taasisi ya kijasusi ya Israel (Mossad). He was one of the finest agent of all time, he had a sharp memory, Kwa lugha nyingine alikua na photographic memory.
Jamaa alikua akirekodi matukio na mambo mbalimbali katika shughuli zake za kijasusi kichwani pasipo kusahau au kuacha chochote au kufanya chembe ya kosa lolote, na baadae kuandika/kunakiri taarifa ya mambo yote aliyoyaona baada ya kupata wasaa wa kufanya hivyo.
Kwenye kitabu chá Hofu.Umemsahau Willy Gamba Jasusi Maarufu wa Tanzania..
Carlos the jackal hawezi kuingia kwenye category ya spy yeye category yake ni terrorist wa mrengo wasiasa za kicommunistYule jamaa Carlos sanchez vipi? aliamatiwa Sudan nadhani
😂😂😂😂SIJAMWONA CARL PETERS
Usiwe una adimika sana, Bujibuji ni fan mkubwa wa post zakoSafi sana uzi mzuri kabisa