Wajerumani kuzima mitambo yao ya nuklia milele huku sisi tunataka kuijenga!

Rutashubanyuma

JF-Expert Member
Sep 24, 2010
219,470
911,174
Kutokana na madhara ya mitambo ya nuklia ikiwemo majanga ya kiasili kama yale ya Japani, hofu ya ugaidi, namna ya kuteketeza uchafu wa nuklia na changamoto nyingi kibao serikali ya ujerumani imeamua kuizima milele mitambo yao ya nuklia na wanasema hatua hiyo itakuwa kubwa kama ile ya kuziunganisha nchi zao za mashariki na Magharibi baada ya kuanguka kwa umoja wa Soviet. Mpango wao huu utakuwa umekamilka kufikia mwaka 2012 na hivyo wamejipangia miaka 10 kukamilisha.........................swali ni ya kuwa hivi kwa nini sisi nchi yenye umasikini wa kutupwa tunaiga kunya kwa tembo.....au kuutafuna mfupa uliomshinda mzee fisi?

Only stupidity guides this government to hell...............................
 
Kutokana na madhara ya mitambo ya nuklia ikiwemo majanga ya kiasili kama yale ya Japani, hofu ya ugaidi, namna ya kuteketeza uchafu wa nuklia na changamoto nyingi kibao serikali ya ujerumani imeamua kuizima milele mitambo yao ya nuklia na wanasema hatua hiyo itakuwa kubwa kama ile ya kuziunganisha nchi zao za mashariki na Magharibi baada ya kuanguka kwa umoja wa Soviet. Mpango wao huu utakuwa umekamilka kufikia mwaka 2012 na hivyo wamejipangia miaka 10 kukamilisha.........................swali ni ya kuwa hivi kwa nini sisi nchi yenye umasikini wa kutupwa tunaiga kunya kwa tembo.....au kuutafuna mfupa uliomshinda mzee fisi?

Only stupidity guides this government to hell...............................

Wenzetu huwa wanakuwa na mipango ya muda mrefuna wanakuwa wanayadhibiti siku hadi hadi ili waweze kufikia malengo yao... wanaheshimu ushauri wa wataalamu wao na wanautumia. wao kwenye mambo ya kitaalamu wanasiasa huwa nyuma wataalam mbele sisi siasa hiwa mbele ndio maana tunafanya maamuzi ya hovyohovyo tu kwenye mambo ya kitaalam.
Tafiti nyingi sana zimefanywa hapa tanzania na zimeleta matumaini ya uwezekano wa kuacha kutegemea vyanzo vya nishati visivyo na uhakika au vyenye gharama kubwa kuviendesha lakini wanasiasa ndio wako mbele kupinga uanzishaji wa miradi hiyo kwa sababu zao binafsi bila kujali hali za wananchi na faida zake ndio hizi tunazosikia kila siku za Richmond, dowans, IPTL nk ..........Tufumbue macho nasi tuamke
 
Kutokana na madhara ya mitambo ya nuklia ikiwemo majanga ya kiasili kama yale ya Japani, hofu ya ugaidi, namna ya kuteketeza uchafu wa nuklia na changamoto nyingi kibao serikali ya ujerumani imeamua kuizima milele mitambo yao ya nuklia na wanasema hatua hiyo itakuwa kubwa kama ile ya kuziunganisha nchi zao za mashariki na Magharibi baada ya kuanguka kwa umoja wa Soviet. Mpango wao huu utakuwa umekamilka kufikia mwaka 2012 na hivyo wamejipangia miaka 10 kukamilisha.........................swali ni ya kuwa hivi kwa nini sisi nchi yenye umasikini wa kutupwa tunaiga kunya kwa tembo.....au kuutafuna mfupa uliomshinda mzee fisi?

Only stupidity guides this government to hell...............................


Ruta The Germans ni wajanja saana na kama ulivyo admit kua hufanya mambo yao kwa strategies kali, wao kutaka kusitisha hilo suala haina maana kua watakua hawana silaha hizo za nyuklia - wamesha produce za kutosha i bliv, sio kweli na personally siamini. Naamini the fact kua wameona ni bora wasitishe utengenezaji, kwa mambo yahusiyo kimataifa things ziko a bit complicated na hizo issues kua tangled in the near future the possibility is big na hata yaweza sababisha vita kuu nyingine ya dunia (watu weengi najua hawataki kuamini wala kufikiria hili suala... never mind but as i always say time will tell)..

Kuhusu serkali yetu... ni kweli wao mambo mengi hufanya kwa kuiga but badala ya kuiga the way hao wanaowaiga twalianza vipi mpaka kufika hapo walipo, wao wanaiga matokeo... wapi na wapi unaiga jibu la hesabu but hujui njia.... Useless!!! Utapata tick but hutaweza apply the mechanism of the solution.
 
Merkel may be hard pressed to sell the plan as anything but a political defeat at the hands of her Social Democrat (SPD) and resurgent Green rivals. Tens of thousands of people demonstrated against nuclear energy at the weekend all across Germany.
The proposal, which quickly came under fire from abroad, may be even more ambitious than the plans of the SPD and Greens, taking 8 of 17 nuclear plants offline now and 6 more by 2021.
But the most drastic decision by an industrialized country after Fukushima could still face opposition from utility firms
 
Ruta The Germans ni wajanja saana na kama ulivyo admit kua hufanya mambo yao kwa strategies kali, wao kutaka kusitisha hilo suala haina maana kua watakua hawana silaha hizo za nyuklia - wamesha produce za kutosha i bliv, sio kweli na personally siamini. Naamini the fact kua wameona ni bora wasitishe utengenezaji, kwa mambo yahusiyo kimataifa things ziko a bit complicated na hizo issues kua tangled in the near future the possibility is big na hata yaweza sababisha vita kuu nyingine ya dunia (watu weengi najua hawataki kuamini wala kufikiria hili suala... never mind but as i always say time will tell)..

Kuhusu serkali yetu... ni kweli wao mambo mengi hufanya kwa kuiga but badala ya kuiga the way hao wanaowaiga twalianza vipi mpaka kufika hapo walipo, wao wanaiga matokeo... wapi na wapi unaiga jibu la hesabu but hujui njia.... Useless!!! Utapata tick but hutaweza apply the mechanism of the solution.

Asha D, You can correct me if am wrong lakini katika teknologia ya nyuklia kuna upande wa silaha na kuna upande wa energy. Nadhani wao wamezungumzia kuzima mitambo hiyo ya nyuklia inayotumika kuzalisha umeme na hawajaongelea nuclear kama silaha ambazo ni issue nyingine ambayo ina wataalamu tofauti na maamuzi tofauti.
 
Asha D, You can correct me if am wrong lakini katika teknologia ya nyuklia kuna upande wa silaha na kuna upande wa energy. Nadhani wao wamezungumzia kuzima mitambo hiyo ya nyuklia inayotumika kuzalisha umeme na hawajaongelea nuclear kama silaha ambazo ni issue nyingine ambayo ina wataalamu tofauti na maamuzi tofauti.


You are absolutely right Mgalanjuka, heat of the moment
did not get that it was the one used to generate electricity...
I had to reread again! THANK YOU... For your post.
 
Hakuna kitu kama hicho,hawawezi,hawataweza hata siku moja,Israeli ina makombora ya nuklia yanayoweza kuiangamiza dunia yote,leo uniambie ujerumani inafuna na kuangamiza mitambo yake ya nuklia!Dunia inaelekea katika mfumo wa serikali moja na sarafu moja,kuna mipango ya kuwadanganya watu ili waikubali!Usiamini kila kinacho tangazwa na vyombo ya habari!
 
tanzania haiigi tembo kunya, kwani nyuklia ni kwa ajili ya silaha tuu? tunaweza kuzalisha umeme mwingi na kuuza nchi nyingine ila tuu inahitaji mipango madhubuti ya madhara yatakayotokea na menejimenti nzuri kwani nchi yetu ni masikini, magari na ndege yana madhara makubwa katika mazingira ila watu hawaachi kutengeneza, wanajaribu kuangalia jinsi ya kuepuka au kupunguza madhara hayo huku wakiendeleza sekta hiyo,
 
Kutokana na madhara ya mitambo ya nuklia ikiwemo majanga ya kiasili kama yale ya Japani, hofu ya ugaidi, namna ya kuteketeza uchafu wa nuklia na changamoto nyingi kibao serikali ya ujerumani imeamua kuizima milele mitambo yao ya nuklia na wanasema hatua hiyo itakuwa kubwa kama ile ya kuziunganisha nchi zao za mashariki na Magharibi baada ya kuanguka kwa umoja wa Soviet. Mpango wao huu utakuwa umekamilka kufikia mwaka 2012 na hivyo wamejipangia miaka 10 kukamilisha.........................swali ni ya kuwa hivi kwa nini sisi nchi yenye umasikini wa kutupwa tunaiga kunya kwa tembo.....au kuutafuna mfupa uliomshinda mzee fisi?

Only stupidity guides this government to hell...............................
Mi nadhan bado watanzania hatujajua atharizitokanazo na nyuklia tunasikia tu.....ni heri tungekumbuka yale ya HIROSHIMA na NAGASAKI kule Japan tungejifunza zaidi...............
 
ndugu nakubaliana nawe kwa asilimia mia moja! huu ni wakati wa kuachana na mawazo potofu kuwa mwafrika hawezi kufanya jambo lolote! kwa taarifa tu lengo la kuwa na nyuklia ni kuzalisha umeme na the Govt now is training its officials inthat area b4 embarking into business!
 
Ruta The Germans ni wajanja saana na kama ulivyo admit kua hufanya mambo yao kwa strategies kali, wao kutaka kusitisha hilo suala haina maana kua watakua hawana silaha hizo za nyuklia - wamesha produce za kutosha i bliv, sio kweli na personally siamini. Naamini the fact kua wameona ni bora wasitishe utengenezaji, kwa mambo yahusiyo kimataifa things ziko a bit complicated na hizo issues kua tangled in the near future the possibility is big na hata yaweza sababisha vita kuu nyingine ya dunia (watu weengi najua hawataki kuamini wala kufikiria hili suala... never mind but as i always say time will tell)..

Kuhusu serkali yetu... ni kweli wao mambo mengi hufanya kwa kuiga but badala ya kuiga the way hao wanaowaiga twalianza vipi mpaka kufika hapo walipo, wao wanaiga matokeo... wapi na wapi unaiga jibu la hesabu but hujui njia.... Useless!!! Utapata tick but hutaweza apply the mechanism of the solution.
Nadhani Ruta alikuwa anamaananisha upande wa nishati hasa kuzalisha umeme na siyo upande wa silaha
 
Back
Top Bottom