Putin2024
New Member
- Apr 30, 2024
- 1
- 1
Mnamo tarehe 29 Aprili nilifika katika zahanati hiyo iliyopo Halmashauri ya Mbinga Kata ya Lusonga nikashangaa kuona wanawake wajawazito wanatozwa Tsh 500 wakidai wahudumu wa pale wakidai kwa ajili ya kumlipa mlinzi.
Kama hakitoshi Kadi ya mama mjamzito inauzwa Tsh elfu 2,000 na wakichelewa kufika kliniki wanatozwa Tsh 1,000 kama faini kwa kuchelewa.
Kwenu wadau hii ni halali?
Kama hakitoshi Kadi ya mama mjamzito inauzwa Tsh elfu 2,000 na wakichelewa kufika kliniki wanatozwa Tsh 1,000 kama faini kwa kuchelewa.
Kwenu wadau hii ni halali?