Bujibuji Simba Nyamaume
JF-Expert Member
- Feb 4, 2009
- 74,891
- 155,910
Yaani sijui ni ugumu wa maisha au sijui ni kukua kwa utandawazi.Walaji wa sungura hapa nchini wameongezeka na wanazidi kuongezeka kwa kasi kweli kweli, kuliko hata walaji wa kuku, mbuzi, Kitimoto, ng'ombe nk.
Sungura mmoja aliyechomwa au kubanikwa huuzwa kati ya TZS 36 - 65,000.
Kampuni ya NAMAINGO ndiyo kampuni inayojishughulisha na uuzwaji na usambazaji wa sungura nje na ndani ya nchi. Wanafanya kazi na benki ya NMB na TFDA - Tanzania Food & Drugs Authority katika kuwahakikishia walaji ubora wa chakula /nyama ya sungura.
Wahi fursa hiyo.
Haya ni yaleyale ya mayai ya KWARE.Mtoa mada hebu unifafanulie vizuri.Daktari kanishauri nisile nyama nyekundu.Nikaamua nile sungura wa kuchoma sh 65,000.Huo utapeli uko wapi hapo? Au ulikuwa na maana ya 'dhuluma' ya bei wewe ukaita utapeli?
Sungura wanapigiwa upatu sana na kampuni ya tbcc - tanzania business creation company- Ndio hao Namaingo?Utapeli mwingine huu.
Namaingo mlituaminisha biashara ya kware inalipa na tiba, kumbe uwongo mtupu.
Sungura na wenyewe ni muendelezo wa utapeli wenu.
Ni Wapi sungura wa kuchoma wanauzwa DSM?
Namaingo mlisababisha kuku wa Kuchi wauzwe laki Tano, wanunuzi hawakujitokeza, watu wakapata hasara
Ndugu mmoja. Kibaya zaidi wamesha elekeza bei, bei ambayo ni kubwa Sana kuliko uwezo halisi wa MtanzaniaSungura wanapigiwa upatu sana na kampuni ya tbcc - tanzania business creation company- Ndio hao Namaingo?
Ndugu mmoja. Kibaya zaidi wamesha elekeza bei, bei ambayo ni kubwa Sana kuliko uwezo halisi wa MtanzaniaSungura wanapigiwa upatu sana na kampuni ya tbcc - tanzania business creation company- Ndio hao Namaingo?
Usicheze na NamaingoNchi INA matapeli wa kila aina.
Jihadharini sana
Elfu 65 usawa huu kitu cha 1kg - 1½kg.....Kama walivo kuku choma kila mahali unapata, ndivo na mfugaji solo lake lilivyo, popote atauza' Hawa sungura choma sijawai on a mahali wanauzwa"
Duh kuchi laki 5?Utapeli mwingine huu.
Namaingo mlituaminisha biashara ya kware inalipa na tiba, kumbe uwongo mtupu.
Sungura na wenyewe ni muendelezo wa utapeli wenu.
Ni Wapi sungura wa kuchoma wanauzwa DSM?
Namaingo mlisababisha kuku wa Kuchi wauzwe laki Tano, wanunuzi hawakujitokeza, watu wakapata hasara