Wajanja night vip tena

Adolph

JF-Expert Member
Joined
Sep 26, 2010
Posts
895
Reaction score
346
Wakuu najaribu kuunganisha line zangu hapa nifaidi ofa ya wajanja night ila zote zinakataa zinasema nimeshajiunga..nikijaribu kujiondoa ili nijiunge tena pia inagoma..nikiconnect wanafyeka hela yangu..hawa jamaa vip?au ndo ofa imeisha?
 
Mkuu sio wewe tu, hata mimi Juzi 700 imepotea kama masihara, wanakwambia umeshajisali kumbe bado na ukiingia tu umepotea.
 
Hapana jamani ipo hivi..Mfano ulijiunga jana usiku wa saa 7 usiku,hapo utatumia paka saa moja asubuhi utajiunga tena saa saba usiku,ina enda na muda unaojiunga ndio kesho yake utajiunga muda huo huo.

Mr Arsenal
 
Hapana jamani ipo hivi..Mfano ulijiunga jana usiku wa saa 7 usiku,hapo utatumia paka saa moja asubuhi utajiunga tena saa saba usiku,ina enda na muda unaojiunga ndio kesho yake utajiunga muda huo huo.

Mr Arsenal

brother nme2mia hii ofa 4 more than 6 months and downloaded terabytes and terabytes of data nkisema its not working trust me it ain't. Ok just 2 be clear line zote even ambazo hazijaungwa jana haziungi
 

brother nme2mia hii ofa 4 more than 6 months and downloaded terabytes and terabytes of data nkisema its not working trust me it ain't. Ok just 2 be clear line zote even ambazo hazijaungwa jana haziungi

mkuu upo sawa kabisa..kuna line sijaitumia week nzima ila nimejaribu imegoma...nadhani wameshastisha hii offer kimya kimya
 
hii offa ikisitishwa patakuwa pagumu. duhhhhhhhhhhh
 
hii offa ikisitishwa patakuwa pagumu. duhhhhhhhhhhh

Mbona Tayari weshapiga pini la kimya kimya!!
Nadhani hawajamaa walidhani hii offer itatumiwa na kikundi cha watu wachache but imekuwa kinyume nyume maana watu hawanunui bando mchana wao wanasubiri tu mida ya kubundi ifike waanze kupakua so why kina Rostam washastuka kuona jinsi tunavyokamua vibaya bandwith yao.
Kwa upande mwingine mangwi mkubwa humu JF nao umechangia kusitishwa haya makitu
 
inauma roho sana kama ndo hivyo. nilikuwa nimeshaifanya ndo mteremko wangu. na nilivyo na series nyingi nafuatilia zinatoka episode kwa episode
 
:msela:Hacheni kulia lia system ya voda ilikuwa na matatizo maana hata sms toka mitandao mingine kuja vodacom zilikuwa zinachelewa kuingia wakati mwingine hadi baada saa1 au saa 3 tokea itumwe ndo unaipata sms yako.

Sasa mitambo imetengemaa na wajanja night offer nayo imerudi kama kawa so Wazee wa kubundi Adolph leh Shaffin Simbamwene Good Guy Kang Ungeni sasa ili usiku m
utest kama speed ime-reduce au bado iko faster kivile.:violin: :cheer2:
 
Last edited by a moderator:

haya mkuu 2sha HACHA kulia, 2nasubiri mida ye2 ile 😉
 
Last edited by a moderator:
Leo saa 8 usiku nimejiunga bila tatizo, nadhani kuna kitu walikua wanarekebisha. ukipiga *149*02# utaona something new check it out guys
 
jimuzishe???? Waweke ya net..


Kwa mtazamo wangu hawa jamaa huwa wanaingia humu forum na wamegundua kwamba member wengi wanapenda vya mteremko hivyo waliamua kusitisha kwa muda Knight offer ili wacheck bandwith yao inakamuliwaje.
Bila shaka walichogundua ni kwamba wakesha na net ndiyo yanaikamua sana bandwith kuliko wale wa Bundle.
Sasa wameirudisha but hivi punde watalimit speed au kuifutilia mbali.
 

wakiifuta watatlazimu kurudia yale mambo ya uchakachuaji
 
NingaR hii jimuvusishe ni sh. ngapi na inashika maeneo ipi? nikiwa na hamu ya kuchat huwa nagonga uni promotion
 
Last edited by a moderator:
NingaR hii jimuvusishe ni sh. ngapi na inashika maeneo ipi? nikiwa na hamu ya kuchat huwa nagonga uni promotion

Aisee mie sio mtu wa ku chart wala kupiga simu, leo wakati najiunga na university promotion ndio nikaiona, wacha nifatilie nitarudi kwa maelezo.

UPDATE
nimejaribu kujiunga now naambiwa "Ndugu mteja kwa sasa uko nje ya eneo la JIMUVUZISHE tafadhari piga *149*01#……………"
naona nayo hii iko kimaeneo maeneo but mpaka sasa hawaja specify kua iko applicable maeneo gani.
 
Last edited by a moderator:
Basi huenda ndo mambo ya voda. Mimi nimejiunga na na namba moja lakini nikitaka kuiondoa inagoma.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…