Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 137,589
- 272,327
Hapa akimnadi mgombea ubunge wa ccm Buyungu
Ha ha huyo ni mwanaccm tangu kitambo sanaSura ya jamaa haifai hata kuaminiwa !!
Sura ya jamaa haifai hata kuaminiwa !!
anapiga kampeni kwa kina nani mbona watu hakuna?View attachment 822749
Hapa akimnadi mgombea ubunge wa ccm Buyungu
Ilikua haina mafuta mengi ivoWiki iliyopita wakati anaaminiwa sura yake ilikuaje?
Kwi! Kwi! Kwi!anapiga kampeni kwa kina nani mbona watu hakuna?
angalia jukwaa analotumiaMbona kama hakuna watu
Yaani watu wote hao huwaoni? Jamani, mnyonge mnyongeni!anapiga kampeni kwa kina nani mbona watu hakuna?
Kwa kigoma mjiandae kusonyana maana hakuna anayekubali kugeuka jiweUzuri wa ccm wao ni kata kwa kata,nyumb kwa nyumba mtu kwa mtu
Hao wote watapigia kura ccm,ukichangana na wengine vijiji vingine kura zinatosha
Nyie subirini hedikopta ijaze watu badae wanatimka kura zikihesabiwa mnalia mmeibiwa
Inabidi washitakiwe kwa sheria ya uhujumu uchumi maana wanakuwa wanasababishia taifa hasara kwa makusudiwanao hamahama wote ni majambazi wa kisiasa, wanapora hazina yetu