Unaona aibu wewe lini ulilalamika kuhusu Sudan au somalia ila yakitokea mambo nje ya Africa unalalamika kama wale ndugu zako penda waafrika wenzakoHuna lolote ndo maana hujui unacho kiongea, unataka waisilam wapaze sauti ili nani asikie?" waisilamu hatunazo makelele maana sii wendawazim wakupayuka hovyo, Zaidi yakuongea na mwenyezi mungu subhana uwata allah
Lini ulilaani vitendo hivyo kuhusu somalia wewetunalaani vitendo vya kigaidi (ukhawarij) tunaliongea hilo kila siku au ulitaka mpaka tuweke press conference ...uislam ni dini yenye kumvuta aliye nje aingie ndani na kumfanya aliye ndani asitoke
Mtume (Saw) amesema pindi jambo baya linapofanywa, fanya yafuatayo kulirekebisha: lipiganie kwa nguvu, au likemee kwa sauti, au lichukie kutoka moyoni. Yeyote atakayetumia moja ya njia hizo yupo sahihi. Kwa hiyo lazima usikie sauti za kulaani kila tukioLini ulilaani vitendo hivyo kuhusu somalia wewe
Natumia mitandao yote ya kijamii hakuna mnapokemea jambo la Somalia huo ni unafiki mkubwa wa waislamu wa Africa especially Tanzania humu JF mpaka uzi wa kuhusu Burma mlianzisha kulalamika ila waafrika wenzenu wakiuliwa mnajifanya hamuoni... acheni kujipendekeza kwa wengine wapendeni waafrika wenzenu kwanzanadhani utakua unatumia jamii forums tu, au kama unatumia na mitandao mingine ya kijamii bas utakua una kusudio lako unalolitafuta......
Dini za watu hizo mkuu, sisi wa Africa yetu matambiko hahhaha u kristo na u wislam mhhh !Mimi nina swali dogo tu mbona sijaona waislamu wa Tanzania na Africa kwa ujumla wakilaani haya mashambulio kwa watu weusi waislamu wenzao huko Somalia ila hupaza shingo na sauti kuhusu yanayotokea palestina na Burma. .mbona waislamu wa africa ni wanafiki sana mnasikitisha sana. Humu sijaona uzi kuhusu huzini za Somalia ila za palestina na wale wa Burma
Kwani Somalia wanakaa wa Islam peke Yao. Au wanaokufa ni wa Islam peke Yao? Hakuna wakristo Somalia?Mimi nina swali dogo tu mbona sijaona waislamu wa Tanzania na Africa kwa ujumla wakilaani haya mashambulio kwa watu weusi waislamu wenzao huko Somalia ila hupaza shingo na sauti kuhusu yanayotokea palestina na Burma. .mbona waislamu wa africa ni wanafiki sana mnasikitisha sana. Humu sijaona uzi kuhusu huzini za Somalia ila za palestina na wale wa Burma
Waislamu wote ni ndugu na kulaani sio mpaka watu waone ulivyolaaniUnaona aibu wewe lini ulilalamika kuhusu Sudan au somalia ila yakitokea mambo nje ya Africa unalalamika kama wale ndugu zako penda waafrika wenzako