Waimba Bongo Fleva sijui vipi!!!

Wanaume wa darrrrrh, na hapa watasema wanasingiziwa
 
Watoto wakiume kujilegeza huku wamelaliana si salama kabisa.
 
Mwanaume akivaa Pete kwenye kidole Gumba cha mkono ndo basi, no Marinda anymore
 
Hao ndo wanaume ukimuon husogei kwanza wanatoa harufu ya beberu ,wanaume wa dar mnatumia spray za wake zenu na kulala kama huyo dogo kwa kifua cha mwanaume mwenzie
utasema wewe hautumii spray,halafu mwanaume kunuka harufu za ajabu sio sifa huo ni uchafu acheni kujazana ujinga
 
Hao ndo wanaume ukimuon husogei kwanza wanatoa harufu ya beberu ,wanaume wa dar mnatumia spray za wake zenu na kulala kama huyo dogo kwa kifua cha mwanaume mwenzie
Nikushow Lov tu..NoHomo
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…