Si uongo..., ni tamu ile mbaya tena umpate pweza ambaye soon kavuliwa toka baharini, ndio anakuwa mtamu zaidi na supu yake ndio NIGHT SUPPORT MKUBWA....!
Mimi nilikatiza mitaa ya ilala na mshkaji anakaa pande hizo, akanambia tushtue supu kidogo yapweza
wakati tunaendele kila anaekuja anaagiza naomba "night support". kuuliza nikaambiwa naam kwani we hujui kuwa hii ni night support
Mimi nilikatiza mitaa ya ilala na mshkaji anakaa pande hizo, akanambia tushtue supu kidogo yapweza
wakati tunaendele kila anaekuja anaagiza naomba "night support". kuuliza nikaambiwa naam kwani we hujui kuwa hii ni night support