Suprise
JF-Expert Member
- Nov 2, 2012
- 2,696
- 1,063
Muelezee afahamuu kwamba ninapata tabuuuu!!! sema nae taaraaatiiibuuuuu.........quoted from suprise via patricia....lol
ukisemaaa kwa ukaliiiii, mambo utayaharibuuuu
Muelezee afahamuu kwamba ninapata tabuuuu!!! sema nae taaraaatiiibuuuuu.........quoted from suprise via patricia....lol
ndo ufahamu sasa...
hakuna ndege ambao ni wachache kama njiwa, na ni kweli kwa wale tuliowahi kuwa na wadogo zetu wanaofuga njiwa kama ukileta njiwa dume 1 na majike 2 basi ujue huyo jike mwingine hatataga kamwe., maana njiwa hushikana wawili tu, hata huyo jike uliyemuweka na dume na akataga ukasema labda umuhamishie yule jike mwingine usisubiri kuwa atataga, ataambulia kudonolewa tu,.
Duh hili la mpenzi mmoja nina mashaka nalo.., ingekuwa kweli basi hawa njiwa wangekuwa wachache sana.., Na wanachagua huyo mpenzi wakati gani / umri gani na ni vipi anakubalika kwamba huyu ni wangu ?
Research yako umefanyia wapi, njiwa hana mpenzi mmoja tu kama unavyo dai.
kuhusu idadi mkuu, njiwa ni mojawapo ya ndege wachache sana duniani na kuhusu kuchagua mpenzi hayo mambo tumuachie muumbaji ndo anajua siri hiyo kwani vitu vingine hutokea automatic hata wanasayansi hawana jibu. je nikikuambia pia kuwa ndege hupanga uzazi na wana njia mbalimbali za kupanga uzazi kama binadamu wafanyavyo utaamini?
si research tu bali ni uhalisia, we nenda kwa wafuga njiwa waulize, basi kama umefanya research ya kuthibitisha mpenzi zaidi ya mmoja wa njiwa tuletee, au kama ulishaona njiwa wakiwa 3 naomba walao picha
wanakuwa watatu bana, ila kama ni dume mdogo atapigwa na kunyang'anywa. Ndege ambao sijawaona kuwa watatu ni wale kasuku wa Dodoma wenye kijani na njano na midomo mwekundu !
mambo mengine watu wanaongezea chumvi ila hawa ndege husikia na wana hisia !
mmmmh ! Dada ! wenzio utoto wote tumefuga njiwa, ukweli ni kuwa ukichukua jike moja madume mawili, yule dume mdogo atanyang'anywa, na yule njiwa mkubwa ndiye atakae chukuwa jike.
Ila maajabu yao, wakitaga tu mayai mawili, yai moja wanaliviza, na moja linatoa jike jingine, hivyo pea inatimia.
FYI mimi nilikuwa na fuga njiwa, na mara nyingi sana nilikuwa nikinunua njiwa mmoja mmoja pale na umri wa miaka saba mpaa 10, lakini nikileta njiwa wa kike naona madume wa njiwa wanamuania njiwa wakike, wengine mpaa walikuwa wakigombana sa unataka kunifundisha nini hapo.si research tu bali ni uhalisia, we nenda kwa wafuga njiwa waulize, basi kama umefanya research ya kuthibitisha mpenzi zaidi ya mmoja wa njiwa tuletee, au kama ulishaona njiwa wakiwa 3 naomba walao picha
Njiwa wangu charminglady, naomba kamwe usije geuka kuwa bundi.
...mh!Hawa njiwa wangu watakuwa wahuni na malaya!Siwaelewi kabisa.
Mkuu umekosea.... wrong mention!!!!! 😕 😕 😕
...itakuwa ule ukanda wenye baridi..oooh jamani kwanini? umewachunguza wametokea kabila gani??